Tumejipanga kudhibiti maambukizi ya virusi vya korona – Profesa Manya
![](https://1.bp.blogspot.com/-nlXlwQDEtl0/XnSU4QOrhaI/AAAAAAAC8sw/rQptruE_tVslXbDj21Rt-kUFvpi71LmHwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Na Greyson Mwase, Dodoma
Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Profesa Shukrani Manya amesema kuwa Tume ya Madini Makao Makuu pamoja na Ofisi zilizopo chini yake zimejipanga katika kukabiliana na maambukizi ya virusi vya korona.
Akizungumza jijini Dodoma leo tarehe 20 Machi, 2020 amesema kuwa hatua hiyo ni sehemu utekelezaji wa wito wa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu na Miongozo ya Shirika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya Corona: Ghana yaondoa 'lockdown' baada ya kudhibiti kasi ya maambukizi
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Maafisa Nigeria wavunja hoteli kudhibiti maambukizi ya Covid-19
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona: Rais Yoweri Museveni awaonyesha Waganda jinsi ya kufanya mazoezi ya nyumbani kudhibiti maambukizi
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Virusi vya corona: Kuvuta maji ya choo 'kunaweza kurusha virusi vya maambukizi futi 3 hewani'
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Muigizaji maarufu wa filamu Idris Elba atangaza kuambukizwa virusi vya Korona.
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Je maambukizi ya mwisho ya virusi hivyo yatafanyika wapi?
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
Virusi vya corona: Watu 'wasiojua wana virusi’ wanavyochangia kuongezeka kwa maambukizi
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19