'Tusiwakebehi walioshindwa kura za maoni'
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyepitishwa kupeperusha bendera ya chama hicho kugombea ubunge Jimbo la Igalula, Musa Ntimizi, amewaomba wanaCCM wenzake ambao wamepitishwa na vikao vya juu kugombea kwenye nafasi za udiwani na ubunge waache kushangilia kwa kuwakebehi walioshindwa.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania