UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAYSIA WASHEREHEKEA MIAKA 51 YA UHURU
![](http://4.bp.blogspot.com/-0p1bVyGYAjs/VUiT9PqYW2I/AAAAAAAAdRo/wczOvMMDfBw/s72-c/FB_IMG_1430305263049.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Malaysia, Mhe. Dkt. Aziz Ponary Mlima akiwa na mkewe Mama Mkola Mlima pamoja na Wafanyakazi wa Ubalozi wakiwapokea wageni waalikwa kwenye maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Ubalozi wa Tanzania nchini humo uliandaa sherehe fupi kuuenzi Muungano.
Balozi Mlima akitoa hotuba fupi wakati wa maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Balozi Mlima akikata keki kuadhimisha miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 May
UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAYSIA WASHEREHEKEA MIAKA 51 YAMUUNGANO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-0p1bVyGYAjs%2FVUiT9PqYW2I%2FAAAAAAAAdRo%2FwczOvMMDfBw%2Fs640%2FFB_IMG_1430305263049.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-z-UahXIkjwk%2FVUiUC5EdxUI%2FAAAAAAAAdRw%2FjARp7dlEr_I%2Fs640%2FFB_IMG_1430305359592.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-iKpNxnou_0I%2FVUiUOwoEzhI%2FAAAAAAAAdR4%2F7uMTOfWFBmY%2Fs640%2FFB_IMG_1430305389410.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Michuzi16 May
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kCxp3EFGawo/U16mpN2epoI/AAAAAAAFd1E/ZjGK3BFarHU/s72-c/unnamed+(48).jpg)
UBALOZI WA TANZANIA ADDIS ABABA WASHEREHEKEA MIAKA 50 YA MUUNGANO
![](http://1.bp.blogspot.com/-kCxp3EFGawo/U16mpN2epoI/AAAAAAAFd1E/ZjGK3BFarHU/s1600/unnamed+(48).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zMVMtgerBz4/U16mpJrbevI/AAAAAAAFd1I/vJmw4XV6FyM/s1600/unnamed+(49).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1UMg7bRr1uY/U16mpUUH2cI/AAAAAAAFd1Q/Ljpw7K4EG9s/s1600/unnamed+(50).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J87Z9CrjtlA/U2H82HIF-MI/AAAAAAAFeVE/6rDQ0jqOt6A/s72-c/New+Picture+(1).png)
UBALOZI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA FALME ZA KIARABU (UAE) WASHEREHEKEA SHEREHE ZA MIAKA 50 MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-J87Z9CrjtlA/U2H82HIF-MI/AAAAAAAFeVE/6rDQ0jqOt6A/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OkO89A-gHUg/U2H87gyVtfI/AAAAAAAFeVw/qyf_u_Z7sA8/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8dXcNemU5i4/U2H88G12_-I/AAAAAAAFeV4/bUF1HlLI4Uc/s1600/New+Picture+(3).png)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YuNUhJFrxdA/U9CxwYJLmtI/AAAAAAAF5d8/EUKcIFtQ5fA/s72-c/unnamed+(15).jpg)
Kamati ya ya Bunge ya Hesabu za Serikali walipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Malaysia
![](http://2.bp.blogspot.com/-YuNUhJFrxdA/U9CxwYJLmtI/AAAAAAAF5d8/EUKcIFtQ5fA/s1600/unnamed+(15).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FQvIpP-W0eI/U94NXmJo7fI/AAAAAAAF8l8/ldip2YbZDHc/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Naibu Spika wa Bunge na Ujumbe wake watembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Malaysia
![](http://1.bp.blogspot.com/-FQvIpP-W0eI/U94NXmJo7fI/AAAAAAAF8l8/ldip2YbZDHc/s1600/unnamed+(20).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-msYJ3YWtPvM/U3td2kdV3gI/AAAAAAAFj1s/tHA9dwmwKZU/s72-c/unnamed+(50).jpg)
Ubalozi wa Tanzania Malaysia wakutana na wafanyabiashara wa Malaysia (MEXPA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-msYJ3YWtPvM/U3td2kdV3gI/AAAAAAAFj1s/tHA9dwmwKZU/s1600/unnamed+(50).jpg)
11 years ago
MichuziUbalozi wa Tanzania nchini Nigeria waadhimisha miaka 50 ya Muungano
Jumuiya ya wafanyabiashara, wawekezaji na wananchi wa Nigeria kwa ujumla, wameombwa kuja kuwekeza kwa ujumla na kutembelea vivutio vya utalii mbalimbali vinavyopatikana nchini Tanzania.
Hayo yamesemwa na Balozi wa Tanzania nchini Nigeria Mheshimiwa Daniel Ole Njoolay katika maadhimisho ya miaka hamsini 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) yalioandaliwa na ofisi ya ubalozi waTanzania nchini Nigeria na kufanyika katika Hoteli ya Sheraton...
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
Watanzania washerehekea miaka 53 ya Uhuru Oakland California
Balozi wa heshima Mhe. Ahmed Issa (watatu toka kushoto) akibadilishana mawili matatu na mgeni rasmi wa sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara Mhe. Dr. Saidi Mohamed Mtanda (wapili toka kushoto), mbunge wa Afrika Mashariki na mwenyekiti kamati ya kudumu ya huduma za jamii katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Mtanda pia ni Mbunge wa jimbo la Mchinga Mkoani Lindi. Kulia ni Cherry Mke wa Mhe. Ahmed Issa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-c1FlvvFOibw/VI7qhdZec4I/AAAAAAADR6c/g7GuT9HodDM/s1600/IMG_3429.jpg)