UJENZI WA BARABARA YA DODOMA (MAYAMAYA) HADI BABATI (BONGA) KM 188.15 UNAENDELEA VIZURI
Mafundi wakiendelea na kazi za ujenzi wa daraja kubwa la Kolo lenye urefu wa mita 60 katika barabara ya Dodoma-Babati sehemu ya kipande cha barabara ya kutoka Mela kwenda Bonga chenye urefu wa km 88.8. Ujenzi wa daraja hilo unatarajiwa kukamilika mwezi Mei mwaka huu.
Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Dodoma, Eng. Leonard Chimagu (watatu kutoka kushoto) akiwa na wahandisi wa barabara ya kutoka Mela-Bonga mara baada ya ukaguzi wa daraja la Kolo.
Kazi za ujenzi zikiendelea kwenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMKOA WA DODOMA WASHEREHEKEA KUANZA KWA UJENZI WA MRADI WA BARABARA YA DODOMA (MAYAMAYA) - BABATI (BONGA)
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
Mkoa wa Dodoma washerehekea kuanza kwa ujenzi wa mradi wa Barabara ya Dodoma (Mayamaya) — Babati (Bonga)
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchmbi (wa nne kutoka kushoto) akiwaongoza wadau waliofika kuadhimisha sherehe za kuanza kwa ujenzi wa mradi wa barabara ya kutoka Mayamaya Dodoma hadi Bonga Babati kwa kiwango cha lami kuomba Dua ili mradi huo ukamilike kwa wakati bila kukwamishwa na changamoto mbalimbali. Sherehe hizo zilifanyika mapema Julai Mosi, 2014 kijijini Kolo Wilayani Kondoa.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (wa pili kushoto) na ujumbe alioambatana nao wakikagua magari...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA MAYAMAYA — MELA-BONGA KM 188.15
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UJENZI AKAGUA BARABARA YA DODOMA-BABATI KM 251.4
11 years ago
Habarileo03 Jul
Awamu ya pili barabara ya Dodoma-Babati yazinduliwa
AWAMU ya pili ya ujenzi wa barabara ya Dodoma-Babati kwa kiwango cha lami, imezinduliwa huku wananchi wa maeneo ya mradi, wakihakikishiwa na kampuni ijayojenga kwamba watapewa kipaumbele kufanya kazi katika ujenzi huo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qyTxz6msizw/XmaisqpPS1I/AAAAAAALiUA/sLfEXGO0q-EQSD3bT32Svv6X0WdstmCdACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200309_142403.jpg)
TARURA SITISHENI UJENZI WA BARABARA ZA VUMBI HADI MVUA ZITAKAPO SIMAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qyTxz6msizw/XmaisqpPS1I/AAAAAAALiUA/sLfEXGO0q-EQSD3bT32Svv6X0WdstmCdACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200309_142403.jpg)
Baadhi ya uharibifu unaondelea kwenye maeneo ambayo ujenzi wa barabara unaendelea hivi sasa kwenye maeneo ya Mji wa Mafinaga Mji.
![](https://1.bp.blogspot.com/-vaqnSNqeCSQ/XmZLPlSH_hI/AAAAAAAAHrI/9ZiU7YWkAO89dAS_JIaZKH4LagOCpGTDACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200309_143134.jpg)
Baadhi ya uharibifu unaondelea kwenye maeneo ambayo ujenzi wa barabara unaendelea hivi sasa kwenye maeneo ya Mji wa Mafinaga Mji
![](https://1.bp.blogspot.com/-h8mLNJ0NDig/XmZLPbHvklI/AAAAAAAAHrE/UWo5db6d018t5aWGFmZ3XFfgEjeA46XOgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200309_142312.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi akizungumza kwenye ziara ya Iringa mpya awamu ya pili alipokuwa anakagua ujenzi wa barabara yaKinyanambo, Pareto,Chumi,Lutherani na Mwamkoa Mbagala iliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga akiwataka...
10 years ago
Habarileo03 Sep
‘Barabara ya lami ya Dodoma hadi Iringa itakuza uchumi’
RAIS Jakaya Kikwete amesema kufunguka kwa barabara kutoka Dodoma hadi Iringa, kutakuza shughuli za kiuchumi na kupunguza umasikini kutokana na barabara hiyo kuwa sehemu ya barabara kuu inayoanzia Cape Town nchini Afrika Kusini kupitia Tanzania hadi Cairo, Misri, maarufu kama The Great North Road.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7_hcYJZ9U6w/UyR7zd-aMQI/AAAAAAAFToE/g8BcI3e10e0/s72-c/unnamed+(6).jpg)
UFUNGUZI WA WARSHA YA WADAU KUJADILI TAARIFA YA TATHIMINI YA ATHARI ZA KIJAMII NA MAZINGIRA YA MRADI WA UJENZI WA BARABARA YA NGERENGERE HADI KIDUNDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7_hcYJZ9U6w/UyR7zd-aMQI/AAAAAAAFToE/g8BcI3e10e0/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4Y0Wp3JaPq8/UyR7z9b5AAI/AAAAAAAFToM/RlDSEiEDTQI/s1600/unnamed+(7).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10