Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKIBAMBWA UNASOMA IJUMAA WIKIENDA UNARUDISHIWA MSHIKO

Mhariri wa Ijumaa Wikienda, Sifael Paul (kulia) akimrudishia mshiko wake, Vero Gasper (mwenye gazeti la Ijumaa) aliyebambwa akisoma gazeti hilo, maeneo ya Njia ya Goba, Dar. Mhariri Sifael (katikati) akimrudishia mshiko wake, Badiru Nahelu (kushoto) aliyebambwa akisoma gazeti hilo, maeneo ya Tegeta-Kwandevu, Dar. Anayeshuhudia kulia ni Afisa Usambazaji wa Global Publishers, Gasper Mchele.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

YOTE HAYA UTAYAPATA KATIKA GAZETI LAKO LA IJUMAA WIKIENDA

WASTARA AKATWA MGUU! -Mamilioni ya fedha yatumika, mwenyewe aeleza maumivu makali aliyopitia kwa saa 24 -Unataka kujua jinsi alivyokatwa mguu huo na ni kwa nini? CHANZO CHA LULU KUTODUMU NA MWANAUME CHATAJWA! -Unajua chanzo hicho ni nini? -Licha ya kuwa na mvuto, kwa nini hadumu na mwanaume? MGONI AMUUA MWENYE MKE! -Amvizia shambani, ampiga na jembe kichwani naye ala kichapo -Unajua chanzo cha kisa hicho? KAJALA APATA...

 

11 years ago

GPL

MSOMAJI WA MAGEZETI YA GLOBAL BWANA SHAHA AKIBURUDIKA NA UWAZI, IJUMAA WIKIENDA

Bwana Shaha akinunua nakala yake ya gazeti la Ijumaa Wikienda jana. Shaha akisoma gazeti lake la Ijumaa Wikienda jana.…

 

11 years ago

GPL

IJUMAA WIKIENDA LAWAJAZA 'MAPESA' WASOMAJI WAKE

Dada Veronica (kushoto) mkazi wa Temeke akirudishiwa pesa na kutabasamu baada ya kukutwa na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sifael Paul akisoma gazeti hilo. Mkazi wa eneo la Tandika Sokoni, Siasa akirudishiwa pesa kutoka kwa Mhariri wa Gazeti hilo.…

 

10 years ago

Vijimambo

Mishumaa ya Kale LIVE .Ijumaa hii na kila Ijumaa

Mishumaa ya Kale ni kipindi ambacho kinakuletea muziki wa zamani na maelezo mbalimbali ju ya Muziki huo. Ungana na Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio kila Ijumaa kuanzia saa 11 jioni mpaka saa moja kamili kwa saa za Marekani Mashariki (5:00pm - 7:00pm EST) kupitia Kwanza Production, Vijimambo Radio ama Border Radio

 

10 years ago

Vijimambo

Mishumaa ya Kale...Ijumaa hii na kila Ijumaa

Mishumaa ya Kale ni kipindi ambacho kinakuletea muziki wa zamani na maelezo mbalimbali ju ya Muziki huo. Ungana na Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio kila Ijumaa kuanzia saa 11 jioni mpaka saa moja kamili kwa saa za Marekani Mashariki (5:00pm - 7:00pm EST) kupitia Kwanza Production, Vijimambo Radio ama Border Radio

 

10 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE NA MSHIKO HUU UNAITWAJE?

Mshiko huu usiombe ushikwe na afande wa city a.k.a mgambo mbona utaeleza kila kitu juu ya sakata lililo kusababishia kuchikwa hivi

 

10 years ago

GPL

TATIZO NI WANAWAKE WENYE MSHIKO AU WALIOTESWA?

Kuna tatizo moja la msingi sana limekuwa likisemwa kuhusu uhusiano wa kimapenzi na wanawake wenye uwezo wa kifedha, kwamba mapenzi yao mara nyingi yamejaa dharau. Sina uhakika na hili ndiyo maana nimeuliza hapo juu, lakini katika maisha halisi, zipo dalili za ukweli zinazoakisi jambo hili, hasa kutokana na uzoefu wa maisha ya kibantu yalivyo. Katika jamii yetu, tumeukuta utamaduni wa mwanamke kuwa tegemezi kwa mwanaume, kwamba...

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YATANGAZA MSHINDI WA MILIONI 50 WA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO


Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (katikati) akiongea na mshindi wa droo ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko", Sylvester Kucas Boyo, mwanafunzi na mkazi wa Shinyanga alijishindia mil. 50 na Juma Sekele Maruka, Mwalimu mkazi wa Nyakato, Mwanza wateja wawili wa Airtel waliibuka washindi, (kushoto) ni Mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya KJubahatisha, Humudi Abdul Hussein na Ofisa huduma za ziada Airtel, Fabian...

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL YAPATA WASHINDI WATANO WA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO

 Afisa huduma za ziada wa Airtel bwana Fabian Felician akiongea na mshindi aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya tano ya wiki ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel kutoka mikoa ya Manyara na Bukoba walipatikana (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha bwana Bakari Majid (kushoto) droo hii imechezwa jana katika makao makuu ya Airtel Moroco jijini Dar es saalam.Afisa huduma za ziada wa Airtel, bwana Fabian Felician (kulia) akimkabidhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani