Urusi kuiondolea Iran vikwazo vya silaha
Marekani imepinga hatua ya Urusi ya kutaka kuiondolea vikwazo vya silaha Iran kwa kuipatia mfumo wa kudhibiti makombora
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Urusi yaiuzia Iran silaha kali ya ulinzi wa angani
Urusi imeiuzia Iran, silaha kali ya ulinzi dhidi ya ndege za kivita na makombora.
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Urusi yazuia vikwazo vya UN Sudan Kusini
Urusi na Angola imezuia UN kuwekea vikwazo Paul Malong na Johnson Olony kwa mchango wao katika mapigano nchini Sudan Kusini.
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Urusi imeiwekea Uturuki vikwazo vya kiuchumi
Urusi imetangaza vikwazo vipya vya kiuchumi dhidi ya Uturuki kutokana na kudunguliwa kwa ndege yake mnamo Jumanne.
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Urusi yawekewa vikwazo
Canada imetangaza vikwazo dhidi ya Urusi kwa kile kinachodaiwa kupinga mashambulizi dhidi ya Ukraine.
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Vikwazo dhidi ya Iran kuondolewa
Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza amesema huenda vikwazo dhidi ya Iran vikaanza kuondolewa mapema mwaka ujao.
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Vikwazo dhidi ya Urusi vitadumu
Viongozi wa kundi la mataifa yaliyostawi zaidi kiviwanda duniani G7, yamekata kauli kudumisha vikwazo walivyoiwekea Urusi
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
G7 yatishia kuiongezea Urusi vikwazo
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema mataifa ya G7 yalikuwa tayari kuzidishia Urusi vikwazo zaidi, iwapo haitaheshimu makubaliano ya Ukraine
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Urusi kuwekewa vikwazo zaidi
Urusi kuwekewa vikwazo kufuatia kuhusishwa na mashambulizi Mashariki mwa Ukraine
11 years ago
BBCSwahili26 Apr
G7 kuiwekea Urusi vikwazo zaidi
Viongozi wa nchi zenye uwezo mkubwa duniani G7 wamekubaliana kuiwekea vikwazo zaidi Urusi kwa kuchochea ghasia Ukraine.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania