UTARATIBU WA SASA KUHUSU 'BIG G' NCHINI SINGAPORE
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZD-Lr6w_Uus/VV35Kr122ZI/AAAAAAAABmE/hPeqJ7fUZn0/s72-c/getty_rf_photo_of_chewing_gum_in_wrapper.jpg)
Mwaka 1992 Singapore ilipitisha sheria iliyokataza kuuza ama kusafirisha big g kwa nchi yoyote duniani, ila big g zitengenezwe kwa ajili ya kulika na kununuliwa na raia wa Singapore tu. Baada ya miaka 12 yalifanyika mabadiliko na kuruhusu watu wa Singapore kununua big g ambazo hazina sukari yani Sugar-free chewing gums ambazo ni nzuri kwa meno na kinywa cha binadamu. Kwa sasa utaratibu uliopo ukikutwa unatema big g chini au unatafuna ovyo unapigwa faini.
africanjam.com
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania