Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UVCCM faults 2015 hopefuls

>Chama Cha Mapinduzi (CCM) presidential hopefuls’ camps have been accused of once again meddling in the ruling party’s youth wing affairs in Arusha Region ahead of the forthcoming General Election.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mbio za urais 2015 zaipasua UVCCM

Mwenyekiti wa UVCCM taifa, Sadifa Juma Khamis

Mwenyekiti wa UVCCM taifa, Sadifa Juma Khamis

NA MWANDISHI WETU, Dodoma

MAKUNDI ya urais yanadaiwa kuugawa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), ambapo imeelezwa kuwa baraza kuu la umoja huo, limegoma kupitisha jina la Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuwa Naibu Kamanda wa umoja huo upande wa Tanzania Bara.

Hayo yamejitokeza katika vikao vya baraza kuu la umoja huo ambalo lilikuwa na vikao vyake mjini hapa kuanzia Novemba 7, 2014 na kuhitimishwa jana.

Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho...

 

10 years ago

Mwananchi

UVCCM wagoma Pinda kuwa naibu kamanda, kisa urais 2015

Dodoma. Vita ya urais ndani ya CCM inaendelea. Juzi, vita hiyo iliibuka katika Kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) baada ya kuwapo kwa madai kwamba kikao hicho kilikataa kupitisha jina la  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuwa naibu kamanda wake Tanzania Bara.

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO

???????????????????????????????
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.

???????????????????????????????
Katibu wa UVCCM wilaya ya...

 

11 years ago

TheCitizen

CCM presidential hopefuls warned

The ruling CCM has warned its cadres who aspire for presidency in next year’s General Election through the party to make sure that they observe the parties constitution, election procedures and regulations.

 

10 years ago

IPPmedia

Two more CCM hopefuls eye the presidency


IPPmedia
Two more CCM hopefuls eye the presidency
IPPmedia
Two more high ranking officials of the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM) yesterday joined the long list of presidential aspirants bringing the number of CCM State House hopefuls to a total of 5. They are Son of the Father of the Nation Makongoro ...
Ex-first sons Ali, Makongoro seek top Union postDaily News

all 5

 

9 years ago

BBC

Fifa hopefuls lobby Cosafa

Three of the candidates for the Fifa presidency lobby Southern African football association bosses for their support in February's polls.

 

10 years ago

TheCitizen

3 CCM hopefuls in televised dialogue

Three Chama Cha Mapinduzi (CCM) presidential hopefuls have cemented their plans to improve teachers’ welfare in case they are elected in October General Election.

 

10 years ago

Daily News

Ikulu hopefuls exhorted on ethics


IPPmedia
Ikulu hopefuls exhorted on ethics
Daily News
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) yesterday issued a strong reminder to its presidential hopefuls to behave ethically and observe the party's rules and regulations 'governing the game,' as Foreign Affairs and International Cooperation Minister Bernard Membe ...
'Presidential aspirants must defend Constitution'Bayoubuzz
Exhortion has characterised Ikulu hopefulsspyghana.com

all 6

 

9 years ago

BBC

Four Fifa presidential hopefuls visit Caf

Four of the seven candidates eyeing the Fifa presidency have visited the Confederation of African Football at its headquarters in Cairo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani