Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Tekno ameshafika Dar es salaam Dec 29

Mkali wa hit singo ya  Duro kutoka ambaye asili yake ni Nigeria Tekno tayari ameshawasili Bngo kwaajili ya kufanya show ya funga mwaka. Hapa nimekusogezea video akiwasili uwanja wa ndege na alivyoyajibu maswali Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili […]

The post Video: Tekno ameshafika Dar es salaam Dec 29 appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Video ya bomoabomoa Kinondoni Dar es salaam Dec 17.

Dec 17 2015 kazi ya kuwahamisha wananchi wote waishiyo katika maeneo hatarishi iliendelea kwa kuzibomoa nyumba zote zilizopo mabondeni katika baadhi ya maeneo Dar es salaam ikiwa ni pamoja na bonde la Msimbazi lililopo Kinondoni, tazama hii video ya tukio zima la ubomoaji. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]

The post Video ya bomoabomoa Kinondoni Dar es salaam Dec 17. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rima Ft. Tekno — Feeling You

Rima-Ft-Tekno-Feeling-You-Video-740x379

Weeks after dropping the audio, BMCMB frontliner – RIMA drops the visuals to his captivating club tune – “Feeling You”, featuring Triple MG superstar – TEKNO.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Tekno Miles (Nigeria) — Anything

Anaitwa Augustin Miles a.k.a Tekno Miles, au kama anavyofahamika kwao kama Chris Brown wa Nigeria. Hii ni video yake mpya ya wimbo wake uitwao ‘Anything’.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Diamond atease wimbo mpya wa Tekno wa Nigeria, je ni collabo?

tekno-miles-1

Mkali wa ‘Duro’ Tekno Miles kutoka Nigeria anatarajia kuachia wimbo mpya wiki ijayo, baada ya kufanya vizuri na single ya ‘Duro’ ambayo imeshika chati mbalimbali za Afrika.

tekno-miles-1

Mshindi wa tuzo 3 za Afrima 2015, Diamond ambaye yuko Nigeria alikoenda kwenye tuzo hizo, amewaonjesha mashabiki kupitia akaunti yake ya Instagram kionjo cha wimbo huo. Platnumz amepost video aliyojirekodi akiwa na Tekno kwenye gari yake wakisikiliza wimbo huo huku Tekno akiimba.

“Forget About DURO… we are about to...

 

9 years ago

Bongo5

DJ wa Jay Z, Young Guru ammwagia sifa Tekno wakiwa Dar

10375872_1541509622839066_535891423_n (1)

DJ wa Jay Z, Young Guru ambaye yupo nchini, amemmwagia sifa kede kede hitmaker wa Duro, Tekno wa Nigeria.

10375872_1541509622839066_535891423_n (1)
Kutoka Kulia: B12, Tekno, Young Guru na Kennedy wakiwa kwenye studio za Clouds FM

Wawili hao leo watakuwa na show jijini Dar.

Kupitia Instagram, Guru ameandika:

My Nigerian people already know but it’s time for the rest of the world to take note. My dude Tekno (@teknoofficial) is the next world wide super star. His song “Duro” is out here killing but believe me when I tell you he has...

 

9 years ago

Bongo5

Tekno wa Nigeria kutumbuiza jijini Dar kwenye mkesha wa mwaka mpya

tekno-miles-1

Msanii wa Nigeria anayefanya vizuri kwa sasa na hit song yake ‘Duro’, Tekno Miles anatarajiwa kutua jijini Dar es salaam wiki hii kwaajili ya kufunga mwaka na mashabiki wake wa Tanzania.

tekno-miles-1

Tekno ambaye wiki chache zilizopita ameachia wimbo mpya ‘Wash’ unaoendelea kufanya vizuri, anatarajiwa kufanya show kwenye siku ya mwisho ya mwaka huu December 31, kwenye ukumbi wa King Solomon jijini Dar.

Kupitia akaunti yake ya Insta, Tekno aliyewahi kudaiwa kuwa na mahusiano na Agnes Masogange ameonesha...

 

9 years ago

BBC

VIDEO: The risks of cycling in Dar es Salaam

As urban populations and economies grow across Africa, traffic jams and accidents seem to be getting worse. Could cycling be the answer?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani