Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Aina saba ya watu wanaoanzisha na kusambaza taarifa feki

Ni vibaya kufanya hivi lakini nini kinawahamasisha kufanya hivyo? Huu hapa mwongozo wa watu wanaosambaza "taarifa ghushi".

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je, ni taarifa gani feki zinazoenezwa Afrika kuhusu virusi vya corona?

Ni taarifa gani za uzushi zinazoenezwa sana barani Afrika kuhusu virusi vya corona?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu saba wathibitishwa kupona Rwanda

Rwanda imetangaza kwamba watu 7 wamepona virusi vya Corona wiki tatu baada ya kuwa katika kituo cha matitabu ya virusi hivyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je wanyama wanaofugwa wana hatari ya kusambaza virusi?

Virusi vya corona : Ni kweli wanyama wanaofugwa wana hatari ya kusambaza virusi?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya coroni: Je maiti ya mgonjwa wa corona inaweza kusambaza virusi hivyo?

Maswali mengi kuhusu jinsi ya kuzika maiti ya muathirika wa covid-19 yamekuwa yakijibiwa shirika la WHO.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 143 wameambukizwa virusi vya corona Kenya

Idadi ya wanaume inaonekana kuwa juu zaidi kati ya wanaopata maambukizi ya virusi vya corona Kenya

 

5 years ago

Michuzi

SBL yajitolea kusambaza vipeperushi kujikinga na vIrusi vya Corona

Ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za kupambana na homa ya mapafu maarufu kama Corona virus, Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeshirikiana na Wizaya ya Afya Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kusambaza vipeperushi vyenye ujumbe wa kujikinga na virusi hivyo hatari
SBL tayari imeshavifikisha vipeperushi hivyo sehemu mbali mbali hapa nchini na kuvikabidhi kwa Waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na maafisa afya kwa ajili ya kuvigawa kwa wanachi wa maeneo husika. Mwakilishi wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Dereva aliyesafirisha jeneza feki akamatwa Kenya

Watu hao walifanikiwa kuhadaa polisi kwa kutumia jeneza tupu kupita vizuizi kadhaa njiani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je ni kwanini Idadi ya watu walioambukizwa virusi Uganda inapunguzwa?

Waziri wa afya nchini Uganda amerudisha nyuma namba za idadi ya watu waliopata maambukizi ya corona nchini Uganda baada ya rais Yoweri Museveni kutoa agizo kuondoa idadi ya madereva wote wageni katika orodha ya wagonjwa wa corona nchini Uganda.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watu 260wathibitishwa kuwa na virusi ndani ya saa 24 nchini Kenya

Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka na kufikia wagonjwa 4,738

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani