Virusi vya Corona: Idadi ya wagongwa Kenya yafikia 607 huku Zanzibar 134
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona kisiwani Zanzibar nchini Tanzania imeongezeka na kufikia 134 baada ya wizara ya afya kisiwani humo kutangaza visa vinane vipya zaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa
Mipaka isiolindwa sasa imetajwa kuwa miongoni mwa maeneo hatari katika maambukizi ya virusi vya corona kulingana na naibu waziri wa Afya nchini Kenya Mercy Mwangangi.
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya corona: Idadi ya Wagonjwa wa corona kenya yafikia 887
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia 887 baada ya wagonjwa wengine 57 kukutwa na virusi hivyo katika kipindi cha saa 24.
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya Corona: Idadi ya waliopona corona Kenya yafikia 553
Wagonjwa 54 wa virusi vya corona wamethibitishwa kupona nchini Kenya , ikiwa ndio idadi kubwa zaidi kutangazwa kwa siku
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Idadi ya walioambukizwa Kenya yafikia 535
Kenya yarekodi idadi kubwa ya walioambukizwa corona kwa siku
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa Zanzibar yafikia saba
Mamlaka ya kisiwani Zanzibar, imetangaza kuwa na maambukizi mapya ya wagonjwa wawili wenye maambukizi ya corona.
5 years ago
BBCSwahili19 Apr
Virusi vya corona: Watu wanane wathibitishwa kuambukizwa Kenya, idadi yafikia 270
Watu wanane wathibitishwa kuambukizwa Kenya, wawili wapoteza maisha.
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715
Raia wawili wa Tanzania wamezuiwa kuingia nchini Kenya katika mpaka wa Isibania baada ya kukutwa na virusi vya corona, kulingana na wizara ya afya nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili18 May
Virusi vya Corona: Maeneo mapya yapata maambukizi, huku idadi ya visa ikipanda Kenya
Watu 25 zaidi wamepatikana vna virusi vya corona, na kulifanya taifa la Kenya kuwa na jumla ya visa vya maambukizi 912, amesema Katibu tawala wa waziri wa Afya Rashid Aman.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Mombasa yaandikisha wagonjwa wapya 19 huku idadi ikifikia 465 Kenya
Kenya imethibitisha wagonjwa 30 wapya hatua inayoongeza idadi ya visa vya ugonjwa huo nchini humo kufikia 465 kulingana na katibu wa kudumu katika wizara ya afya nchini humo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania