Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vote for Peter Msechu -AFRIMA Awards 2014

Peter Msechu - Afrima Promo

Earlier last month AFRIMA AWARDS 2014 selected me to be one of the nominee in the category BEST ARTIST IN EAST AFRICA this is because of the song NYOTA that you have been one of the helper in advertising it hence its has now became a big hit song now in east Africa.   for that case would like to ask you TO VOTE FOR ME to win this award. only 3 days left until voting line to be closed, your vote will real give me a chance to win this category     ALL YOU HAVE TO DO IS TO CLICK THIS LINK...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Please vote for PETER MSECHU



I would like to ask for your vote on AAFRIMA 2014 NIGERIA.. am nominated as BEST MALE ARTIST IN EAST AFRICA. to vote for me click this link bellow and scrow down you will see my picture with a box writen "VOTE" by cliking this box your vote will be counted..

http://afrima.org/index.php/vote/continental-category/the-regional-categories/best-male-artiste-in-east

would be greatful if you will help me share this link on your facebook/twitter/instagram accounts.

NAKUSHUKURU SANA SANA.

 

10 years ago

Bongo5

Peter Msechu aelezea furaha aliyoipata baada ya kutajwa kuwania tuzo (AFRIMA) kwa mara ya kwanza, ‘leo siogi’…!

Mwimbaji Peter Msechu ameelezea furaha yake baada ya kutajwa kuwania tuzo za kimataifa za ‘All African Music Awards’ 2014 (AFRIMA) za Nigeria (Ingia hapa), ambazo majina ya wanaoshindanishwa yalitangazwa wiki iliyopita. Msechu ambaye ametajwa kuwania tuzo hizo pamoja na Diamond na Vanessa Mdee, amesema kuwa ameweka rekodi katika historia yake ya muziki kwa kuwa hajawahi […]

 

10 years ago

Bongo5

BASATA lawapongeza Diamond, Msechu na Vanessa kwa kutajwa kuwania tuzo za AFRIMA 2014

Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA, limewapongeza Diamond Platnumz, Vanessa Mdee na Peter Msechu kwa kutajwa kuwania kwenye tuzo za All Africa Music Awards, AFRIMA 2014. Pia baraza hilo limempongeza Diamond kwa kuchagulikuwa kuwa msanii wa mwezi wa MTV Base. Haya ni maelezo yaliyotolewa na Katibu Mkuu Mtendaji wa BASATA, Godfrey Mngereza. Baraza la Sanaa […]

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee atajwa kuwania ‘All Africa Music Awards’ AFRIMA 2014, kuchuana na 2 Face na Maurice Kirya

Vanessa Mdee pamoja na Diamond Platnumz ndio wasanii wa Tanzania waliotajwa kuwania tuzo za ‘All Africa Music Awards’ AFRIMA 2014 huko Nigeria. Vanessa ametajwa kuwania vipengele viwili ambavyo ni ‘Msanii Bora wa kike Afrika Mashariki’ pamoja na ‘Best African RNB Soul’ kupitia wimbo wa ‘Come Over’. Vee Money anachuana na Wahu na Size 8 wa […]

 

10 years ago

Mwananchi

Mastori na Peter Msechu

Wakati wasanii wengine wakiwakandia wanamuziki waliofanikiwa, hali ni tofauti kwa Peter Msechu ambaye anaamini kuwa nyota hao ni hazina kwa Taifa na chachu ya maendeleo ya muziki wa kizazi kipya Afrika Mashariki.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Peter Msechu – Malava

Peter Msechu - MaLava Official

Mwanamuziki wa bongo fleva Peter Msechu ameachia waimbo mpya unaitwa “Malava”. Producer Teaz Villah

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Peter Msechu – Malava

Msechu

2015 haukuwa mwaka mbaya kwa muimbaji Peter Msechu, ambaye mbali na kutengeneza mkwanja mrefu katika kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu uliopita, lakini pia aliweza kuachia kazi kadhaa ikiwemo wimbo huu ‘Malava’. Msechu anauanza mwaka mpya 2016 kwa kutambulisha video ya wimbo huo ambao audio yake ilitoka mwezi November, 2015. Video imeongozwa na director wa Kenya, Kevin Bosco Jnr.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari...

 

10 years ago

Mtanzania

Nyimbo 10 zamchelewesha Peter Msechu

MSECHUNa Leticia Bwire (TUDARCO)

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Peter Msechu, amesema nyimbo 10 alizokuwa akiziandaa pamoja na video zake ndizo zinazomfanya awe kimya kimuziki.

“Nimekuwa kimya kwa muda mrefu kwa kuwa nilikuwa najipanga kuachia ngoma zangu mpya ambazo kwa sasa ndiyo namalizia video zake.

“Nimeshatimiza nyimbo 10 ambazo zipo katika hatua ya mwisho kukamilisha video zake hivyo mashabiki wangu wakae tayari kupokea kazi nyingi zenye ubora wa kutosha kutoka kwangu,” alieleza...

 

9 years ago

Bongo5

AFRIMA 2015: See the full list of All Africa Music Awards winners

sauti n diamond

It was a phenomenal night for all music lovers across Africa as the International Committee of All Africa Music Awards, AFRIMA, in partnership with African Union Commission, AUC, held the 2015 edition of the All Africa Music Awards (AFRIMA) at Eko Hotel and Suites in Lagos, Nigeria.

sauti n diamond

Here is the list of last Night’s winners:

ARTIST OF THE YEAR
Diamond Platnumz

SONG OF THE YEAR
Diamond Platnumz – “Nasema Nawe”, featuring Khadija Kopa

ALBUM OF THE YEAR
Charlotte Dipanda – “Elle n’a pas...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani