Vote for Peter Msechu -AFRIMA Awards 2014
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 Oct
Please vote for PETER MSECHU
I would like to ask for your vote on AAFRIMA 2014 NIGERIA.. am nominated as BEST MALE ARTIST IN EAST AFRICA. to vote for me click this link bellow and scrow down you will see my picture with a box writen "VOTE" by cliking this box your vote will be counted..
http://afrima.org/index.php/vote/continental-category/the-regional-categories/best-male-artiste-in-east
would be greatful if you will help me share this link on your facebook/twitter/instagram accounts.
NAKUSHUKURU SANA SANA.
10 years ago
Bongo529 Sep
Peter Msechu aelezea furaha aliyoipata baada ya kutajwa kuwania tuzo (AFRIMA) kwa mara ya kwanza, ‘leo siogi’…!
10 years ago
Bongo503 Oct
BASATA lawapongeza Diamond, Msechu na Vanessa kwa kutajwa kuwania tuzo za AFRIMA 2014
10 years ago
Bongo526 Sep
Vanessa Mdee atajwa kuwania ‘All Africa Music Awards’ AFRIMA 2014, kuchuana na 2 Face na Maurice Kirya
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Mastori na Peter Msechu
9 years ago
Bongo517 Nov
Music: Peter Msechu – Malava
![Peter Msechu - MaLava Official](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Peter-Msechu-MaLava-Official-300x194.jpg)
Mwanamuziki wa bongo fleva Peter Msechu ameachia waimbo mpya unaitwa “Malava”. Producer Teaz Villah
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo504 Jan
New Video: Peter Msechu – Malava
![Msechu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Msechu-300x194.jpg)
2015 haukuwa mwaka mbaya kwa muimbaji Peter Msechu, ambaye mbali na kutengeneza mkwanja mrefu katika kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu uliopita, lakini pia aliweza kuachia kazi kadhaa ikiwemo wimbo huu ‘Malava’. Msechu anauanza mwaka mpya 2016 kwa kutambulisha video ya wimbo huo ambao audio yake ilitoka mwezi November, 2015. Video imeongozwa na director wa Kenya, Kevin Bosco Jnr.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari...
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Nyimbo 10 zamchelewesha Peter Msechu
Na Leticia Bwire (TUDARCO)
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Peter Msechu, amesema nyimbo 10 alizokuwa akiziandaa pamoja na video zake ndizo zinazomfanya awe kimya kimuziki.
“Nimekuwa kimya kwa muda mrefu kwa kuwa nilikuwa najipanga kuachia ngoma zangu mpya ambazo kwa sasa ndiyo namalizia video zake.
“Nimeshatimiza nyimbo 10 ambazo zipo katika hatua ya mwisho kukamilisha video zake hivyo mashabiki wangu wakae tayari kupokea kazi nyingi zenye ubora wa kutosha kutoka kwangu,” alieleza...
9 years ago
Bongo517 Nov
AFRIMA 2015: See the full list of All Africa Music Awards winners
![sauti n diamond](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/sauti-n-diamond-300x194.jpg)
It was a phenomenal night for all music lovers across Africa as the International Committee of All Africa Music Awards, AFRIMA, in partnership with African Union Commission, AUC, held the 2015 edition of the All Africa Music Awards (AFRIMA) at Eko Hotel and Suites in Lagos, Nigeria.
Here is the list of last Night’s winners:
ARTIST OF THE YEAR
Diamond Platnumz
SONG OF THE YEAR
Diamond Platnumz – “Nasema Nawe”, featuring Khadija Kopa
ALBUM OF THE YEAR
Charlotte Dipanda – “Elle n’a pas...