WAGONJWA WA CORONA NCHINI KENYA WAFIKI 465
![](https://1.bp.blogspot.com/-FVuM2TwqO54/Xq7oNH-EpBI/AAAAAAAC4b4/NTqbcH1rPVkW192cepBZgqVbgV-b3GrVQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Wizara ya afya nchini Kenya imethibitisha maambukizi mapya 30 ya virusi vya corona hii ni baada ya sampuli 883 kufanyiwa vipimo katika muda wa saa 24 na kufanya idadi ya walioambukizwa kufikia 465 .
Naibu waziri wa afya Dk Rashid Aman anasema kuwa 19 ni wagonjwa kutoka Mombasa, 8 jijini Nairobi wawili kaunti ya Bungoma na kimoja kaunti ya Kitui.
Watu wawili zaidi aidha wamefariki kaunti ya Mombasa kutokana na virusi hivyo na kufikisha waliofariki nchini Kenya kuwa 24 na idha waliopona...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Mombasa yaandikisha wagonjwa wapya 19 huku idadi ikifikia 465 Kenya
5 years ago
BBCSwahili24 May
Idadi ya wagonjwa wa corona nchini Kenya yafikia 1,214 baada ya kutangazwa wagonjwa wapya 22
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Mombasa yathibitisha wagonjwa 67 huku jumla ya wagonjwa ikifikia 2,474 kenya
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Virusi vya Corona: Watu 15 wapona corona Kenya, wagonjwa wapya 11
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa wa corona Kenya yafika 281
5 years ago
BBCSwahili17 May
Virusi vya corona: Idadi ya Wagonjwa wa corona kenya yafikia 887
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Kenya yathibitisha wagonjwa wapya 16 wa corona