Waliong’ara kwenye red carpet uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa jijini Dar
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kulia) katika picha ya kumbukumbu na Afisa Habari wa Shirika la UNFPA nchini, Sawiche Wamunza.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP)) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) katika picha ya kumbukumbu na Yona Samo wa UNDP Tanzania.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi27 Apr
MNUSO WA UZINDUZI WA SHAMRA SHAMRA ZA MIAKA 70 YA UMOJA WA MATAIFA WAFANA JIJINI DAR
![DSC_0354](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0354.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0351.jpg)
MNUSO WA UZINDUZI WA SHAMRA SHAMRA ZA MIAKA 70 YA UMOJA WA MATAIFA WAFANA JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Mnuso wa uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa wafana ndani ya hoteli ya White Sands
Cake maalum iliyoandaliwa kwenye sherehe za uzinduzi wa shamra shamra za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa uliofanyika mwishoni mwa juma kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es Salaam.
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) akiteta jambo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la UN Women nchini Tanzania, Anna Collins kabla ya zoezi la kuwasha mishuma 70 kwenye cake hiyo...
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Waliong’ara Red carpet mnuso wa Birthday ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa Tanzania
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa kampuni ya Frontline Porter Novelli, Hellen Kiwia (kulia) nao walikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa waliohudhuria mnuso wa Birthday ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa tangu kuanzishwa kwake.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa kampuni ya Frontline Porter Novelli, Hellen Kiwia.
Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini, Mh. Filiberto Sebregondi (kulia) katika red carpet na baadhi ya wageni waalikwa wengine.
Nancy Kaizilege wa UNESCO.
Third...
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Waliong’ara kwenye Red carpet uzinduzi wa Big Brother HOTSHOTS @ Dar es Salaam Serena Hotel
Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo wa Hoteli ya DoubleTree by Hilton Bw. Florenso Kirambata, Meneja Masoko wa MultiChoice Tanzania, Furaha Samalu, Levina Bandihai wa Multichoice Tanzania pamoja na mmoja wa wadau wa DStv waking’ara kwenye red carpet wakati wa sherehe za uzinduzi wa shindano la Big Brother HOTSHOTS zilizoandaliwa na Mutlichoice Tanzania kwa ajili ya wadau wa DStv na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Dar es Salaam Serena ziliofanyika usiku wa kuamkia leo.
Meneja Uhusiano...
11 years ago
Michuzi31 Mar
WALIONG'ARA KWENYE RED CARPET YA UZINDUZI WA ZANZIBALICIOUS WOMEN GROUP @ ZANZIBAR OCEAN VIEW
![DSC_0243](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_02431.jpg)
![DSC_0058](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0058.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_02431.jpg)
WALIONG'ARA KWENYE RED CARPET YA UZINDUZI WA ZANZIBALICIOUS WOMEN GROUP @ ZANZIBAR OCEAN VIEW
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Waliong’ara kwenye red carpet sherehe za miaka 10 ya Bang Magazine ndani ya Escape One
Meneja wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akipata Picha kwenye Red Carpet.
Meneja wa Bang Magazine Emelda Mwamanga akipata picha na mama Wa Msanii Toka Marekani Yvonne Sangudi Kwenye Red Carpet.
Miss Tanzania 2013/14 Happiness Watimanywa akipata Picha ya Red Carpet Miaka 10 ya Bang Magazine.
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba akipata picha kwenye Red Carpet ya Bang Magazine.
Wageni wakiendelea kufurahia kupata picha kwenye Red Carpet ya Miaka 10 ya Bang Magazine.
Mwanadada akifurahia...
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Waliong’ara red carpet kwenye sherehe ya siku ya wanawake Zanzibar
Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali kwenye red carpet wakati wa sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyowakutanisha wanawake kutoka kila kona ya visiwani Zanzibar ambayo iliandaliwa na Kikundi cha Wanawake cha Zanzibalicious na kufanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya hoteli ya Bwawani.
Mbunifu wa mavazi kutoka bara Mama wa mitindo Asia Idarous (kushoto) akipozi na mbunifu wa mavazi kutoka visiwani Zanzibar Matilda Ishungisa wa Malty design.
Makamu mwenyekiti wa kikundi...