'Walioua 14 Marekani wangeua mamia'
Shirika la kijasusi la Marekani FBI limegundua kuwa waliohusika katika shambulio jana la kuua watu 14 nchini Marekani walikuwa na silaha za kutosha na mabomu ya kuua mamia ya watu.
BBCSwahili
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania