Wananchi Serengeti waikumbuka rasimu ya pili ya Jaji Warioba
Baadhi ya wananchi waliokuwa wanafuatilia mjadala wa escrow juzi, katika mji wa Mugumu wilayani Serengeti, Mkoa wa Mkoa wa Mara walikumbuka Rasimu ya Pili ya Katiba iliyotupwa iliyokuwa ikitenganisha mihimili, hasa baada ya Spika Anna Makinda kuyumba kwa kuhofia mgongano wa mihimili na kusababisha kuvunjika kwa kikao cha Bunge.
Mwananchi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania