Wassira ahimiza wananchi kuisoma Katiba 'mpya’
MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM, Stephen Wassira, amewaomba wananchi wote wakiwemo wa vyama mbalimbali vya siasa, kuisoma kwa umakini wa hali juu Katiba mpya inayopendekezwa ili waone mazuri yaliyomo, badala ya kupotoshwa na baadhi ya wanasiasa, hasa wa kambi ya upinzani.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania