WATANZANIA WASHIRIKI WA KONGAMANO LA YOUNG AFRICAN LEADERSHIP WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC.
Watanzania walioshiriki kongamano la Young African Leadership watembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC na kupokelewa na mwenyeji wa Balozi Liberata Mulamula.
Pichani ni baadhi ya washiriki wa kongamano hilo walipokua wakijitambulisha kwa Mhe, Balozi kwani wote wametoka kwenye Nyanja mbalimbali za kitaaluma.
Washiriki wa Kongamano ambao walikiri kujifunza mengi kutoka upande wa Marekani ambapo wamepata mwanga wa kuweza kuleta mabadiliko nchini Tanzania kutoka na taaluma walizopata.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboWASHIRIKI WA MAFUNZO YA UIMARISHAJI NA USIMAMIZI WA MIRADI WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC.
usimamizi wa miradi ya ushirikiano kwa njia ya Public Private Partneship hasa sekta ya nishati na madini walipofika kutembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC .
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-9AGhnvAvkT8/VPqpIabtU4I/AAAAAAAHIfY/c_0Em0rLGyY/s72-c/FullSizeRender.jpg)
AWADH ZUBERI NA UJUMBE WAKE WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC
![](http://1.bp.blogspot.com/-9AGhnvAvkT8/VPqpIabtU4I/AAAAAAAHIfY/c_0Em0rLGyY/s1600/FullSizeRender.jpg)
11 years ago
MichuziHARVARD CLUB OF WASHINGTON WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Prof Sospeter Muhongo na ujumbe wake watembelea ubalozi wa Tanzania, Washington, DC
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo kwa Mkuu wa Utawala na Fedha wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka siku ya Jumatatu June 9, 2014 Waziri wa Nishati na Madini na ujumbe wake walipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani ulipo mtaa wa 22, jijini Washington, DC.
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akitambulisha Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof...
10 years ago
VijimamboWANAFUNZI WA CARMAN AINSWORTH HIGH SCHOOL WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC.
10 years ago
VijimamboMKURUGENZI NA MHARIRI MKUU WA MAGAZETI YA MWANANCHI NA CITIZEN WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NA VOA WASHINGTON, DC
9 years ago
VijimamboWATANZANIA KUDUCHU WALIOJITOKEZA HARAMBEE YA CSI UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON, DC JUMLA YA $2,696 ZAPATIKANA
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Watanzania kiduchu waliojitokeza harambee ya CSI Ubalozi wa Tanzania Washington DC jumla ya $2,696 zapatikana
Ivan Matovu akisherehesha harambee ya Childbirth Survival International iliyofanywa kwa ushirikiano wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumamosi Septemba 12, 2015 katika chumba cha mkutano cha Nyerere ndani ya jengo la Ubalozi huo na jumla ya $2,696 zilikusanywa siku hiyo kwa ajili ya kusaidia kuokoa maisha ya wazazi wanaotarajia kujifungua katika Hospitali ya Wilaya ya Biharamuro. CSI walishawahi toa msaada wa namna hiyo hospitali ya Amana iliyopo Wilaya ya Ilala jijini Dar na...
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Cassim Mganga, Aunty Ezekiel watembelea mjengo mweupe, Aunty asaini kitabu ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Washington, Dc
Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
Aunty Ezekiel akipata picha nje ya mjengo wa Obama.
Shabiki akipata picha...