Wazazi wamtumia mwana wao kama 'chambo'
Maafisa wa polisi kusini wa jimbo la Kerala nchini India wamemkamata mama na baba wa kambo wa msichana mmoja kwa madai ya kumlazimisha kufanya biashara ya ngono kwa kipindi cha miaka miwili.
BBCSwahili
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania