Waziri- Kuna wanaume 'wagumba'
TANZANIA inakabiliwa na uwepo wa wanaume wenye mbegu zisizo na uwezo wa kutunga mimba. Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid alisema hayo bungeni jana, wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Viti Maalumu, Kidawa Salehe (CCM).
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania