WAZIRI MEMBE AFUNGUA MKUTANO WA TISA WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard K. Membe (Mb) akifungua Mkutano wa Tisa wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara hiyo. Mkutano huo ulifanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Mei, 2015. Katika hotuba yake, Waziri Membe aliwahimiza Watumishi wa Wizara kufanya kazi kwa bidii na kwa kuzingatia maadili ya Utumishi wa Umma
Sehemu ya Wajumbe wa Baraza wakifuatilia hotuba ya Waziri Membe (hayupo pichani) wakati...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AFUNGUA BARAZA LA TISA LA WAFANYAKAZI LA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA JIJINI DAR LEO.
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANAYAKAZI WA MAMBO YA NJE
9 years ago
Michuzi26 Nov
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA JESHI LA POLISI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/ab2.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/ab3.jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
9 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE AAGANA NA WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ptmT8qBEbfU/U2ARX5K7oAI/AAAAAAAFeEI/_8ATkEYgLyY/s72-c/unnamed+(62).jpg)
MKUU WA MKOA WA PWANI BI. MWANTUMU MAHIZA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA UCHUKUZI MJINI BAGAMOYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ptmT8qBEbfU/U2ARX5K7oAI/AAAAAAAFeEI/_8ATkEYgLyY/s1600/unnamed+(62).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EYrqoN3QZnQ/U2ARWxmrwaI/AAAAAAAFeEA/SUiW405HDrE/s1600/unnamed+(63).jpg)
10 years ago
MichuziWaziri Magufuli afungua Mkutano wa tano wa Baraza la Wafanyakazi TANROADS-Morogoro
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI CHARLES KITWANGA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI