Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazuiwa kupinga sheria ya mavazi mafupi

Polisi wa Uganda wamewazuia wanawake waliotaka kuandamana kupinga sheria dhidi ya mavazi mafupi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI

Na Mwandishi wetuMbunifu wa kimataifa wa mavazi kutoka Tanzania, Sheria Ngowi amedhihirisha kuwa yeye ni nguli katika ubunifu baada ya kufinika katika onyesho la mavazi la kimataifa lijulikanalo kama Mercedes Benz Fashion Week Africa 2014 lililofanyika juzi Ijumaa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.Ngowi alionyesha mkusanyiko wa mavazi aliyoyaita 'PRIDE' yaani kujivunia, kama moja ya njia za kumuenzi Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere pamoja na viongozi mashuhuri waliopigania uhuru...

 

11 years ago

Habarileo

‘Sheria kudhibiti mavazi yasiyofaa ipo’

 MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Masoud Othman amesema sheria ya kudhibiti mavazi yanayokwenda kinyume na utamaduni ya Mzanzibari ikiwemo ya kuwadhalilisha wanawake ipo na haijafutwa.

 

10 years ago

Michuzi

MBUNIFU WA MAVAZI SHERIA NGOWI AKUTANA NA WAZIRI MKUU PINDA

1
WaziriMkuu, MizengoPinda akisalimiana na Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi alipotembelewa jana nyumbani kwake Masaki jijini Dar esSalaam. (Picha Zote: AtuzaNkurlu-SheriaNgowi Brand).2Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi akimuonesha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baadhi ya vitambaa vya kisasa vya suti ambavyo vitatuka Kumtengenezea Waziri Mkuu jana jijini Dar es Salaam.3Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiangalia na kuchagua aina ya vitambaa vya suti amabvyo vitatumika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria Ngowi amvalisha Rais mpya wa Zambia

Rais mpya wa Zambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum  (Presidential suit) iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini Tanzania Sheria Ngowi akikagua gwaride rasmi kabla ya kuapishwa katika sherehe za kuapishwa kwake jana asubuhi katika viwanja vya National Heroes, mjini Lusaka-Zambia. Guy Scott, of Scottish.    

Rais mpya wa Zambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum (Presidential suit)iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AKUTANA NA WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi alipotembelewa jana nyumbani kwake Masaki jijini Dar es Salaam. Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi akimuonesha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baadhi ya vitambaa vya kisasa vya suti ambavyo vitatuka  Kumtengenezea Waziri Mkuu  jana jijini Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiangalia na kuchagua aina ya vitambaa vya suti amabvyo vitatumika kutengenza baadhi ya Suti Zake alipotembelewa na...

 

10 years ago

GPL

JK AKUTANA NA MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi(kulia)alipokutana na Rais Jakaya Kikwete Ikulu Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na kujadili mambo mbalimbali kuhusiana na tasnia hiyo leo Rais Jakaya Kikwete akizungumza  na ujumbe wa mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (wa kwanza Kulia) Ikulu jijini Dar es Salaam jana Rais Jakaya Kikwete akipitia baadhi ya sample za vitambaa vya nguo vinavyotumiwa… ...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kesi ya kupinga sheria ya mtandao

Dar es Salaam. Mchakato wa usikilizwaji wa kesi ya Sheria ya Makosa ya Uhalifu wa Kimtandao umeanza, huku Mahakama Kuu nchini ikiipa Serikali siku 14 kuwasilisha mahakamani hapo majibu yake ya utetezi kuhusiana na kesi hiyo.Kesi […]

The post Kesi ya kupinga sheria ya mtandao appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Michuzi

JK akutana na Mbunifu wa Mavazi wa Kimataifa Sheria Ngowi Ikulu Jijini Dar es Salaam leo

 Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi(kulia)alipokutana na  Rais Jakaya Kikwete Ikulu  Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na kujadili mambo mbalimbali kuhusiana na tasnia hiyo leo Rais Jakaya Kikwete akizungumza  na Ujumbe wa  Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (wa kwanza Kulia)ikulu jijini Dar es Salaam Leo
 Rais Jakaya Kikwete akiitia baadhi ya sample za vitambaa vya nguo vinavyotumiwa na mbunifu wa mavazi wa kimatafaifa Sheria Ngowi (kulia)IKULU Jijini Dar es Salaam leo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani