Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yaachana na Zuttah

YANGA imeachana na beki Joseph Zuttah na leo anatarajia kurudi kwao Ghana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Yanga: Hatutamrudisha Zuttah kwao

KLABU ya Yanga imesema haina mpango wa kumrejesha Joseph Zuttah kwao, isipokuwa wanaendelea na mazungumzo na baadhi ya timu za Zimbabwe kuona kama zitamchukua.

 

9 years ago

StarTV

YANGA SC YAACHANA NA DILUNGA ‘KWA HERI’, KIKOSI CHAENDELEA NA MAKAMUZI MBEYA

YANGA SC imeachana na kiungo wake Hassan Dilunga, ambaye anahamia Stand United ya Shinyanga.
Katibu wa Yanga SC, Dk. Jonas Tiboroha ameiambia BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE asubuhi ya leo kwamba, wamefikia makubaliano na mchezaji huyo aliyesajiliwa msimu uliopita kutoka Ruvu Shooting kuvunja Mkataba bila masharti.

Hassan Dilunga sasa si mchezaji wa Yanga SC tena
WALIOTOKA NA KUINGIA YANGA SC
Waliotemwa; Hassan Dilunga, Nizar Khalfan, Danny Mrwanda, Said Bahanuzi, Hamisi Thabit, Omega Seme na...

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaachana na kocha

ZIKIWA zimesalia takriban siku mbili kabla ya mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Yanga, Azam imeachana na kocha msaidizi George Nsimbe baada ya kufikia makubaliano. Akizungumza jijini jana, Ofisa habari wa Azam FC, Jafar Iddi alithibitisha kuondoka kwa Nsimbe na kusema nafasi yake imechukuliwa na Romano aliyekuwa timu B.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani