ZIARA YA KINANA JIMBO LA LULINDI YAZOA WAPINZANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ugLAUV7nE64/VHNNZ1Wf6nI/AAAAAAAATyI/hR1_xjijYxc/s72-c/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wananchi wa kijiji cha Machombe ambapo alipita kukagua ujenzi wa Bwawa la maji litakalo saidia kaya 150 kata ya Marika jimbo la Lulindi wilaya ya Masasi mkoani Mtwara.
Wananchi wa Kijiji cha Machombe wilaya ya Masasi mkoa wa Mtwara wakishangilia wakati wa mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana anayetembea nchi nzima kukagua miradi mbali mbali ambayo zilikuwa ahadi za CCM.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RrU5h4fSKbI/VDiJ49gLFYI/AAAAAAAASPc/JXYu-ARkIqg/s72-c/1.jpg)
SIKU YA 29 YA ZIARA YA KINANA WAPINZANI WAZIDI KURUDI CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-RrU5h4fSKbI/VDiJ49gLFYI/AAAAAAAASPc/JXYu-ARkIqg/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ApN91WBsmXc/VDiJ6kCMeLI/AAAAAAAASPo/ND3m8FYBRts/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cnq_AnYC8O8/VDiJ6Lnic6I/AAAAAAAASPk/Mu9qhnW-mNc/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UHyMBdLkkrA/VDiJ7ljhHQI/AAAAAAAASP0/PcAeGTKVQqE/s1600/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CqXeThEegRM/VDiJ8bXZftI/AAAAAAAASP8/I4FQwSUyavo/s1600/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KSchzmCZKaU/VPkx6EKv00I/AAAAAAAC09Y/rlB2Qbs0nsQ/s72-c/_MG_8927.jpgb.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AMALIZA ZIARA JIMBO LA MPWAPWA NA KIBAKWE,LEO KUWASILI JIMBO LA KONGWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-KSchzmCZKaU/VPkx6EKv00I/AAAAAAAC09Y/rlB2Qbs0nsQ/s1600/_MG_8927.jpgb.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O3A1WiaXpj4/VRG_JmVQEuI/AAAAAAAC2OU/Zo_NN4jZCNU/s72-c/5.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA MOSHI VIJIJINI,LEO KUUNGURUMA JIMBO LA VUNJO MKOANI KILIMANJARO
![](http://3.bp.blogspot.com/-O3A1WiaXpj4/VRG_JmVQEuI/AAAAAAAC2OU/Zo_NN4jZCNU/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BtIfimFdQbw/VRG_KjRQm5I/AAAAAAAC2Og/k3GR8kVeoMY/s1600/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_hlu42lEO8A/VY7lI-0TNwI/AAAAAAAC7sQ/T0qoKLbJXqM/s72-c/4.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA LEO JIMBO LA NYAMAGANA,KESHO KUUNGURUMA LIVE JIMBO LA ILEMELA JIJINI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-_hlu42lEO8A/VY7lI-0TNwI/AAAAAAAC7sQ/T0qoKLbJXqM/s640/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RIryMEqSt_U/VYmn786lRLI/AAAAAAAC7Xg/H67iMyved_U/s72-c/2.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMALIZA ZIARA YAKE JIMBO LA MISUNGWI,KESHO KUVAMIA JIMBO LA KWIMBA MKOANI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-RIryMEqSt_U/VYmn786lRLI/AAAAAAAC7Xg/H67iMyved_U/s640/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana,Leo aliendelea na ziara yake katika jimbo la Misungwi linaloongozwa na Mh. Charles Kitwanga ambaye pia ni naibu Waziri wa Nishati na Madini akitembelea maeneo...
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Vijana wasusa kupiga kura Jimbo la Lulindi
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-GAmf78p6AJY/VYws_KB-zaI/AAAAAAAAfoc/V-Ns2i79qkI/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA JIMBO LA SUMVE
![](http://4.bp.blogspot.com/-GAmf78p6AJY/VYws_KB-zaI/AAAAAAAAfoc/V-Ns2i79qkI/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cO1_CpNgNu0/VYwta_XMBmI/AAAAAAAAfrU/xW_8U-RyHuI/s640/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx6HHHj3Fgs/VYwtcGhNWBI/AAAAAAAAfrg/jWa_lTv65Ho/s640/8.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Mar
Ziara ya Kinana jimbo la LUSINDE
![](http://1.bp.blogspot.com/-OTq-O52rS7o/VP3vgXlWQxI/AAAAAAAAXx8/iPugK3AuB6Q/s1600/1.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde akielezea maendeleo ya ujenzi wa Shule ya msingi Lowasa kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika kijiji cha Muungano wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-BsZByfBu_9s/VP3vkzceftI/AAAAAAAAXzE/bj8R06Bmij0/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana(kushoto) akimuonyesha Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde namna ya kufyatua matofali wakati wa kushiriki ujenzi wa shule ya msingi Lowasa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupampu maji ya...
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Ziara ya Kinana jimbo la Mufindi Kusini
![](http://2.bp.blogspot.com/-RrU5h4fSKbI/VDiJ49gLFYI/AAAAAAAASPc/JXYu-ARkIqg/s1600/1.jpg)
Vitalu vya miche ya miti vinavyomilikiwa na Umoja wa Vikundi vya Kijamii wilaya ya Mufindi (UVIKIMU)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ApN91WBsmXc/VDiJ6kCMeLI/AAAAAAAASPo/ND3m8FYBRts/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kumwagia maji vitalu vya miche ya miti vinavyomilikiwa na Umoja wa Vikundi vya Kijamii wilaya ya Mufindi (UVIKIMU)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cnq_AnYC8O8/VDiJ6Lnic6I/AAAAAAAASPk/Mu9qhnW-mNc/s1600/3.jpg)
Shamba la chai Ngwazi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kuchuma chai pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye shamba la chai Ngwazi wilaya ya Mufindi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CqXeThEegRM/VDiJ8bXZftI/AAAAAAAASP8/I4FQwSUyavo/s1600/5.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM...