Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


$3bn needed to develop Mchuchuma, Liganga

>The Mchuchuma coal project is facing financial constraints to generate electricity.The government is unable to provide funds as it is required to undertake the project.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Biteko amesema imetosha kuhusu Mchuchuma na Liganga


Waziri wa Madini Doto Biteko wa pili kushoto akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christophher Ole Sendeka wakati wa ziara yake mkoa humo wakiwa wilayani Ludewa.
Sehemu ya Wananchi kijiji cha Mundindi wilayani Ludewa wakimsikiliza Waziri wa Madini Doto Biteko hayupo pichani wakati wa kikao cha hadhara.

Waziri wa Madini Doto Biteko kushoto na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christophher Ole Sendeka wakiwasikiliza wananchi hawapo pichani wakati wa kikao katika kijiji cha Mundindi wilayani Ludewa ...

 

5 years ago

Michuzi

Serikali yawatoa hofu ya dhulma wananchi wanaopakana na miradi ya liganga na Mchuchuma


Njombe

Serikali imewahakikishia manufaa makubwa na kuwaomba subira wananchi wa vijiji vya amani na Mundindi na vile vinavyopakana na miradi mikubwa ya Liganga na Mchuchuma iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe kutokana na wananchi waliokuwa wanamiliki maeneo ya karibu na miradi hiyo kuhamishwa katika maeneo hayo huku wakisubiri fidia kwa muda mrefu mpaka sasa.

Akizungumza na wananchi wa kata ya Mundindi waziri wa madini Doto Mashaka Biteko amesema serikali haiwezi kuwatupa wananchi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA VIWANDA ATEMBELEA MACHIMKBO YA CHUMA LIGANGA NA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA

Waziri wa Viwanda na Biashara akutana na wafanyabiashara wa Mkoani Njombe na kuzungumza nao fursa mbalimbali zilizopo katika mkoa huo mara baada ya kupokewa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Rehema Nchimbi.
 wafanyabiashara wa Mkoani NjombeMlima wa Liganga uliopo mkoani njombe wilaya ya Ludewa ambapo kampuni ya Tanzania China International Mineral Resources Ltd.
 Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kiogoda (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Tanzania China...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA VIWANDA ATEMBELEA MACHIMBO YA CHUMA LIGANGA NA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA

 Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kiogoda (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Tanzania China International Mineral Resources Ltd, Erick Mwingira juu ya miradi hiyo ya makaa ya mawe, alipotembelea miradi ya Chuma cha Liganga na Makaa ya mawe ya Mchuchuma. Kulia ni  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC), Mligi Mkucha.  Picha ya pamoja ya Mh. Waziri wa Viwanda na Biashara pamoja na watafiti na Viongozi wa serikali.

BOFYA HAPA KWA PICHA...

 

11 years ago

TheCitizen

Councils’ sh1.3bn not sent to schools

About Sh1.35 billion which was received as capitation grants in 17 local government authorities was not transferred to the respective schools, a 2012/2013 annual general report of the Controller and Auditor General report reveals.

 

10 years ago

For Infrastructure Improvement

CBE seeks to raise 3bn/


CBE seeks to raise 3bn/- for infrastructure improvement
Daily News
THE College of Business Education (CBE) has lined up a series of fundraising activities aimed at raising 3bn/- that will be used to finance improvement of infrastructure. The CBE Rector, Prof Emmanuel Mjema, disclosed this in Dar es Salaam, when he was ...

 

11 years ago

TheCitizen

CA members pocket over Sh1.3bn

Members of the Constituent Assembly have pocketed at least Sh1.3 billion since the body first convened in Dodoma on February 17, The Citizen has learnt.

 

9 years ago

On Mwalimu Nyerere Science University Project

Govt plans to spend 3bn/


IPPmedia
Govt plans to spend 3bn/- on Mwalimu Nyerere science university project
IPPmedia
The government plans to inject (USD 1.5m) approximately 3bn/- in this 2016/17 fiscal year to establish effectively the Mwalimu Julius Nyerere University of Science and Technology (MJNUST). This was said recently in Dar es Salaam by Professor Dominic ...

 

9 years ago

TheCitizen

Chinese company to use Liganga iron ore

A Chinese company, Avic Shantui Tanzania Limited, will now start distributing all its product ranges right from the soils of Tanzania as it promises to start producing the same locally using reserves of iron ore discovered at Liganga in the southern highlands.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani