Biteko amesema imetosha kuhusu Mchuchuma na Liganga
Waziri wa Madini Doto Biteko wa pili kushoto akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christophher Ole Sendeka wakati wa ziara yake mkoa humo wakiwa wilayani Ludewa.
Sehemu ya Wananchi kijiji cha Mundindi wilayani Ludewa wakimsikiliza Waziri wa Madini Doto Biteko hayupo pichani wakati wa kikao cha hadhara.
Waziri wa Madini Doto Biteko kushoto na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christophher Ole Sendeka wakiwasikiliza wananchi hawapo pichani wakati wa kikao katika kijiji cha Mundindi wilayani Ludewa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen14 Jan
$3bn needed to develop Mchuchuma, Liganga
10 years ago
MichuziWAZIRI WA VIWANDA ATEMBELEA MACHIMBO YA CHUMA LIGANGA NA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA
BOFYA HAPA KWA PICHA...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ALlsr5_m9Go/Xm6G1NYaJfI/AAAAAAALj0g/9s4wpyjsETYOW6_baUw-4KOOozQQ43nQACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Serikali yawatoa hofu ya dhulma wananchi wanaopakana na miradi ya liganga na Mchuchuma
Njombe
Serikali imewahakikishia manufaa makubwa na kuwaomba subira wananchi wa vijiji vya amani na Mundindi na vile vinavyopakana na miradi mikubwa ya Liganga na Mchuchuma iliyopo wilayani Ludewa mkoani Njombe kutokana na wananchi waliokuwa wanamiliki maeneo ya karibu na miradi hiyo kuhamishwa katika maeneo hayo huku wakisubiri fidia kwa muda mrefu mpaka sasa.
Akizungumza na wananchi wa kata ya Mundindi waziri wa madini Doto Mashaka Biteko amesema serikali haiwezi kuwatupa wananchi wa...
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA VIWANDA ATEMBELEA MACHIMKBO YA CHUMA LIGANGA NA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA
11 years ago
Mwananchi31 May
Mwekezaji Liganga aomba unafuu kodi
9 years ago
TheCitizen11 Nov
Chinese company to use Liganga iron ore
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Acmn5sLVKac/U7BMAGXGh9I/AAAAAAAFtdY/1tfHM-NquB4/s72-c/unnamed+(16).jpg)
VIONGOZI NA WATAALAM WA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO WAKAGUA MAENDELEO MRADI WA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Acmn5sLVKac/U7BMAGXGh9I/AAAAAAAFtdY/1tfHM-NquB4/s1600/unnamed+(16).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C-ee12u9090/Xmps7MiN3EI/AAAAAAAC8Uc/6WQLAgT3Q88vQ9gah2wHP2FJcd79Hm3wACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Sekta ya Madini kuzalisha mamilionea – Waziri Biteko
Waziri wa Madini Doto Biteko amesema kuwa Serikali kupitia Wizara ya Madini kwa kushirikiana na Tume ya Madini inaendelea kuhakikisha inawawezesha wachimbaji na wafanyabiashara wa madini ili waweze kuwa mamilionea huku Serikali ikipata mapato yake kutokana na kodi mbalimbali na kuinua Sekta ya Madini.
Waziri Biteko aliyasema hayo leo tarehe 12 Machi, 2020 kwenye ziara ya Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini iliyofanyika katika machimbo ya mawe ya nakshi Ntyuka, Soko...
5 years ago
MichuziBiteko - Nitasimama na Mzee Kisangani mpaka asimame
Waziri wa Madini Doto Biteko amesema kumekuwa na kasumba ya kuwathamini wageni kutoka nje ya nchi kuliko wazawa wenye ubunifu na uthubutu katika kazi zao, wakati wageni kutoka nje wanakuja na mtaji mdogo na mwisho wa siku huondoka na utajiri mkubwa.
Yamesemwa hayo leo tarehe 14 Machi, 2020 akiwa ziarani mkoani Njombe alipotembelea mradi wa kiwanda cha kuzalisha zana mbalimbali zinazotokana na madini ya chuma kinachomilikiwa na Reuben Mtitu maarufu Mzee Kisangani
Biteko...