Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


9 mbaroni kwa kukutwa na bidhaa haramu

WAFANYABIASHARA tisa jijini Mbeya wanashikiliwa Polisi kwa tuhuma za kukutwa na bidhaa zilizopigwa marufuku kuuzwa nchini pamoja na bidhaa zilizoisha muda wake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Watu wawili mbaroni kwa kukutwa na pombe haramu ya Gongo lita 23

DSC0017911

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela.

Na Nathaniel Limu, Singida

JESHI la Polisi mkoa wa Singida limefanikiwa kukamata watu wawili kwa tuhuma ya kumiliki lita 23 za pombe haramu ya gongo na mitambo sita ya kutengenezea pombe hiyo haramu.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Singida, SACP Geofrey Kamwela amesema Elitruda Omari (40) mkazi wa Karakana Singida mjini,amekamatwa akimiliki lita 15 za pombe haramu ya moshi na mitambo mitano ya kutengenezea pombe...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kukutwa na mifupa ya albino

Polisi mkoani Kagera wamedai kuwakamata watuhumiwa wawili wakiwa na mifupa inayodhamiwa kuwa ya binadamu mwenye ulemavu wa ngozi (albino), aliyefariki mwaka 2006 wa Kijiji cha Rushwa wilayani Muleba.

 

10 years ago

Habarileo

2 mbaroni kwa kukutwa na meno ya tembo

Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariWATU wawili wametiwa mbaroni na Polisi mjini Mpanda kwa kukutwa na meno ya tembo waliokamatwa yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 157 ndani ya basi la Adventure.

 

10 years ago

Habarileo

6 mbaroni kwa kukutwa na mifupa 6 ya binadamu

Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan KagandaJESHI la Polisi mkoani Tabora, limewakamata na kuwafikisha mahakamani watu sita, kwa tuhuma za kukutwa na mifupa sita ya binadamu, inayodhaniwa kuwa ni ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa kukutwa na bunduki, sare za polisi

JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kukutwa na bunduki aina ya Shotgun na sare za Jeshi la Polisi ambazo zilitumika katika matukio ya uhalifu...

 

9 years ago

StarTV

Mtu Mmoja mbaroni kwa kukutwa na Bastola 1, risasi 9

Polisi mkoani Tanga imemkamata mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Bashiru Hamis maarufu kama Hazari mwenye umri wa miaka 42 mkazi wa Ilala jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na Bastola 1 yenye namba C. 1193 na risasi 9 kwenye magazini.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa katika kijiji cha Tengwe wakati akielekea kufanya uhalifu kwenye vituo vya mafuta vilivyopo katika mji wa Mkata wilayani Handeni mkoani Tanga.

Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Michuzi

23 WATIWA MBARONI KWA KUKUTWA NA BANGI MKOANI PWANI

JESHI LA POLISI MKOANI PWANI,LINAWASHIKILIA VIJANA 23 WALIOKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA KETE 354 ZA BANGI,PUNI 4,MISOKOTO 8 PAMOJA NA PANGA 1,VISU VINNE NA SIME 3,IKIWA NI KATIKA SEHEMU YA UPEKUZI WA  MAGARI YATOKAYO DAR ES SALAAM AMBAPO KATIKA UPEKUZI HUO WATUHUMIWA HAO WALIPATIKANA.
KATI YA WATUHUMIWA HAO 7 WAMESHAFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUPATIKANA NA MAKOSA WALIYOKUTWA NAYO NA WENGINE WALIACHIWA BAADA YA KUPATIKANA NA MAKOSAJI HALISI.
KIASI HICHO CHA BANGI KINGEINGIA MWALONI KINGELETA...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE WA KISHAPU SULEIMAN NCHAMBI AKAMATWA KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA SILAHA 10, RISASI 536 NA NYAMA 'UWINDAJI HARAMU'




Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba akionesha kwa waandishi wa habari silaha alizokamatwa nazo mbunge wa Jimbo la Kishapu Suleiman Masoud Suleiman 'Suleiman Nchambi'.


Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia Mbunge wa Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga Mhe. Suleiman Masoud Suleiman maarufu Suleiman Nchambi (CCM) kwa tuhuma za kupatikana na silaha 10, risasi 536 na nyama zinazodhaniwa kuwa ni za wanyawapori kinyume...

 

10 years ago

Michuzi

MMOJA NA WENZAKE WAWILI MBARONI KWA KUKUTWA NA PEMBE ZA NDOVU MKOANI DODOMA

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kw ajina la DOUGLAS S/O MNYEKE, Miaka 46, Mkaguru Mukulima na Mkazi wa kijiji cha Silwa Kata ya Pandambili, Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma akiwa na pembe za ndovu vipande vitatu vyenye uzito wa jumla ya kilo 12 na gramu 30 vyenye thamani ya Tshs. 11, 162, 250/= vikiwa nyumbani kwake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME –...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani