Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


A CHAT FROM LONDON: How Jay Dee show invigorated, disappointed at the same time

What makes Tanzanians gather in large groups overseas?Citizens of other countries often rally for the sake of it. Ghanaians and Nigerians have conventions. Brazilians, Jews, Indians and Chinese possess a wide scope of networking, business societies and companies that have created small nations outside their original countries.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

SHOW YA LADY JAY DEE NA ALI KIBA ILIVYOBAMBA KIOTA CHA M.O.G

Mwanamuziki Lady Jay Dee akitoa burudani na Machozi Band Ijumaa ya tarehe 27 mwezi huu ndani ya kiota chake cha Mog Bar & Restaurant (Nyumbani Lounge) katika show anazofanya mara moja kwa mwezi kila Ijumaa ya mwisho wa mwezi ambapo Ijumaa hiyo alimualika Msanii machachari wa Bongo Flava Ali Kiba kwa ajili ya kukonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya kiota hicho. Pichani juu na chini ni mashabiki wa Machozi Band wakimtunza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Show ya Lady Jay Dee na Ali Kiba ilivyobamba kiota cha M.O.G Bar & Restaurant

DSC_0035

Mwanamuziki Lady Jay Dee akitoa burudani na Machozi Band Ijumaa ya tarehe 27 mwezi huu ndani ya kiota chake cha Mog Bar & Restaurant (Nyumbani  Lounge) katika show anazofanya mara moja kwa mwezi kila Ijumaa ya mwisho wa mwezi ambapo Ijumaa hiyo alimualika Msanii machachari wa Bongo Flava Ali Kiba kwa ajili ya kukonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya kiota hicho.

DSC_0033

DSC_0058

Vijana watanashati wenye vipaji vya aina yake wa Machozi Band wakipiga Back Vocal kumpa sapoti Lady Jay Dee a.k.a Komando Binti...

 

11 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: Morning chat with a fabulous, frail English old lady

A good day becomes evident in the morning...so the Swahili proverb goes. It was ice cold but the sun was shining.

 

10 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: Now let’s chat about memorable videos and films

>May I share a few clips from last week? First the video.  A mass of frenzied people are chasing a man somewhere in West Africa.   Right on the knees of Ebola.  Someone sent it via WhatsApp.  Don’t frown if you don’t use WhatsApp.

 

10 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: London welcomes, supports anti-FGM push in Tanzania

>Wednesday, October 15, 2014...A tiny delegation of well educated women; modest and intelligent, will be welcomed into one of the most powerful rooms in the northern hemisphere. First is Mrs Rhobi Samwelly (pictured), mother of four children, hailing from Butiama, Mara Region.

 

9 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: Wet afternoon, junkie hobbling on a London street

It is a cold wet winter afternoon, a few days after the Paris and Bamako terrorist attacks. As I stroll down a major street in East London, a man is melodically hollering:“Evening Standard! Evening Standard!”

 

10 years ago

Mtanzania

Jay Dee: Mimi si Mkikuyu

JAY DEENA JENNIFER ULLEMBO
MWANAMUZIKI Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’, ameweka wazi kwamba yeye ni Mtanzania na si Mkikuyu kutoka Kenya kama baadhi ya mashabiki wa muziki kutoka nchini humo wanavyomdhania.
Jay Dee ameeleza hayo baada ya kudai kwamba kila anapokuwa katika maonyesho yake ya muziki nchini humo, mashabiki wake humtaka ahamie nchini humo moja kwa moja.
“Unajua Wakenya wamekuwa wakisema mimi ni Mkikuyu, wanadai natakiwa nikaishi nchini kwao wanajua mi ni Mkikuyu ila nawaeleza ukweli ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani