A CHAT FROM LONDON: How Jay Dee show invigorated, disappointed at the same time
What makes Tanzanians gather in large groups overseas?Citizens of other countries often rally for the sake of it. Ghanaians and Nigerians have conventions. Brazilians, Jews, Indians and Chinese possess a wide scope of networking, business societies and companies that have created small nations outside their original countries.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Nov
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-L9G-8Bq3Orc/VlmiqGxG2-I/AAAAAAAIIw8/o1V2fu4lkCQ/s72-c/c03da4e6-2a7d-47cc-b8bf-f03dd269941d.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_00352.jpg)
SHOW YA LADY JAY DEE NA ALI KIBA ILIVYOBAMBA KIOTA CHA M.O.G
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Show ya Lady Jay Dee na Ali Kiba ilivyobamba kiota cha M.O.G Bar & Restaurant
Mwanamuziki Lady Jay Dee akitoa burudani na Machozi Band Ijumaa ya tarehe 27 mwezi huu ndani ya kiota chake cha Mog Bar & Restaurant (Nyumbani Lounge) katika show anazofanya mara moja kwa mwezi kila Ijumaa ya mwisho wa mwezi ambapo Ijumaa hiyo alimualika Msanii machachari wa Bongo Flava Ali Kiba kwa ajili ya kukonga nyoyo za mashabiki wake ndani ya kiota hicho.
Vijana watanashati wenye vipaji vya aina yake wa Machozi Band wakipiga Back Vocal kumpa sapoti Lady Jay Dee a.k.a Komando Binti...
11 years ago
TheCitizen07 Feb
A CHAT FROM LONDON: Morning chat with a fabulous, frail English old lady
10 years ago
TheCitizen12 Sep
A CHAT FROM LONDON: Now let’s chat about memorable videos and films
10 years ago
TheCitizen10 Oct
A CHAT FROM LONDON: London welcomes, supports anti-FGM push in Tanzania
9 years ago
TheCitizen27 Nov
A CHAT FROM LONDON: Wet afternoon, junkie hobbling on a London street
10 years ago
Mtanzania05 May
Jay Dee: Mimi si Mkikuyu
NA JENNIFER ULLEMBO
MWANAMUZIKI Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’, ameweka wazi kwamba yeye ni Mtanzania na si Mkikuyu kutoka Kenya kama baadhi ya mashabiki wa muziki kutoka nchini humo wanavyomdhania.
Jay Dee ameeleza hayo baada ya kudai kwamba kila anapokuwa katika maonyesho yake ya muziki nchini humo, mashabiki wake humtaka ahamie nchini humo moja kwa moja.
“Unajua Wakenya wamekuwa wakisema mimi ni Mkikuyu, wanadai natakiwa nikaishi nchini kwao wanajua mi ni Mkikuyu ila nawaeleza ukweli ni...