Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AFCON:Ebola yadhibitiwa katika michuano

Rais wa Shirikisho la Soka nchini Equatorial Guinea amesema kuwa athari ya ugonjwa wa Ebola nchini humo imedhibitiwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yadhibitiwa Nigeria na Senegal

Virusi vya ugonjwa wa Ebola huenda vimedhibitiwa nchini Nigeria na Senegal,kulingana na maafisa wa afya nchini Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya Afcon kundi B

Wachezaji soka wa Afrika wataanza kumenyana wikendi hii wakati michuano ya mataifa ya Afrika itakapoanza nchini Equatoreal Guinea

 

10 years ago

BBCSwahili

Chimbuko la michuano ya AFCON

Hii ni historia ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika ambayo inatajariwa kwa hamu na mashabiki wa soka kote barani Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya makundi ya AFCON tayari

Hatua ya makundi ya kufuzu kwa fainali za kombe la mataifa ya Afrika inaanza mwishoni mwa wiki

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kuivaa Misri michuano ya AFCON

Taifa Stars inaondoka Ijumaa jioni kuelekea Misri tayari kuwania kucheza AFCON 2017.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tunisia yafungiwa michuano ijayo AFCON

Timu ya Taifa ya Tunisia imefungiwa kushiriki michuano ijayo ya AFCON kwa kukaidi kuomba radhi

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF yapongeza michuano ya AFCON 2015

Shirikisho la soka barani Afrika, Caf limeipongeza Equatorial Guinea kwa maandalizi ya muda mfupi ya michezo ya Afcon 2015

 

5 years ago

CCM Blog

TAKUKURU YAWAAMURU VIONGOZI WA TFF KUREJESHA FEDHA ALIZOZITOA RAIS MAGUFULI KUSAIDIA MAANDALIZI MICHUANO YA VIJANA AFCON



Yassir Simba, Michuzi Tv
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imewataka maofisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini TFG kuzirejesha fedha walizochukua kabla hatia nyingine hazijafuata.
Hatua hiyo imekuja baada ya TAKUKURU kudai Shirikisho  limekuwa na matumizi mabaya ya fedha ikiwemo fedha zilizotolewa na Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya AFCON ya Vijana chini ya Miaka 17 yaliyofanyika mwaka jana hapa nchini.
Akizungumza na vyombo vya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola kukwamisha AFCON?

Ugonjwa wa Ebola umesababisha kutokuelewana kati ya Rais wa Shirikisho la Soka la Afrika CAF na mwenzake wa UEFA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani