Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola kukwamisha AFCON?

Ugonjwa wa Ebola umesababisha kutokuelewana kati ya Rais wa Shirikisho la Soka la Afrika CAF na mwenzake wa UEFA.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Concern over Ebola threat at Afcon

Equatorial Guinea women's forward Genoveva Anonma calls for the 2015 Africa Cup of Nations to be cancelled over the Ebola threat.

 

10 years ago

BBC

Afcon Ebola risk 'under control'

Equatorial Guinea FA says risk of Ebola at the Africa Cup of Nations is "under control" despite stadium entry delays.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Ebola yadhibitiwa katika michuano

Rais wa Shirikisho la Soka nchini Equatorial Guinea amesema kuwa athari ya ugonjwa wa Ebola nchini humo imedhibitiwa

 

10 years ago

Mwananchi

Tunaweza kuandaa Afcon 2015 bila Ebola

Napenda niwe wazi tu, binafsi nataka fainali za Afrika (Afcon 2015) zifanyike katika tarehe iliyopangwa kuanzia Januari 17 hadi Februari 8, ingawa kuna tatizo kubwa la ugonjwa wa Ebola ambao umezikumba nchi za Afrika Magharibi.

 

10 years ago

Habarileo

RC atishia kukwamisha bajeti

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa MulongoMKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ametishia kutopitisha bajeti ya halmashauri ya wilaya ya Magu, iwapo kijiji cha Kahangara hakitakuwemo kwenye bajeti ya kuvutiwa maji ya bomba.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge adaiwa kukwamisha mradi

Moses Machali KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amemshambulia Mbunge wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi), na kudai kuwa amekuwa kikwazo cha kuendelea kwa miradi ya maendeleo jimboni kwake, kutokana na kutafuta umaarufu wa kisiasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe: Tunajipanga kukwamisha Rasimu

>Vyama vya upinzani vimeanza kutafuta utaratibu wa kuhakikisha theluthi mbili kwa Zanzibar haipatikani katika kupitisha vifungu vya Rasimu ya Katiba vinavyokwenda kinyume na  matakwa ya wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Bunge kukwamisha bajeti Wizara ya Ujenzi’

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imesema kuwa haitapitisha bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa kile kilichoelezwa kubaini uozo wa ujenzi usiokidhi kiwango katika miradi ya miundombinu ya barabara wilayani Kyela mkoani Mbeya, ikieleza kwamba italazimika kutembea nchi nzima ili kujiridhisha na miradi hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

'Ukawa wamepanga kukwamisha Katiba mpya'

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Mwigulu Nchemba amesema, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamepanga kukwamisha mchakato wa Katiba mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani