Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjumbe: Tunajipanga kukwamisha Rasimu

>Vyama vya upinzani vimeanza kutafuta utaratibu wa kuhakikisha theluthi mbili kwa Zanzibar haipatikani katika kupitisha vifungu vya Rasimu ya Katiba vinavyokwenda kinyume na  matakwa ya wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

ACT: Tunajipanga kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Agosti

>Chama cha ACT- Tanzania, kimesema hakina muda wa kufanya siasa za chuki na malumbamo dhidi ya vyama vingine vya siasa, badala yake kinajipanga vizuri na kuandaa mazingira ya kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao.

 

10 years ago

Habarileo

RC atishia kukwamisha bajeti

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa MulongoMKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ametishia kutopitisha bajeti ya halmashauri ya wilaya ya Magu, iwapo kijiji cha Kahangara hakitakuwemo kwenye bajeti ya kuvutiwa maji ya bomba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola kukwamisha AFCON?

Ugonjwa wa Ebola umesababisha kutokuelewana kati ya Rais wa Shirikisho la Soka la Afrika CAF na mwenzake wa UEFA.

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge adaiwa kukwamisha mradi

Moses Machali KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amemshambulia Mbunge wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi), na kudai kuwa amekuwa kikwazo cha kuendelea kwa miradi ya maendeleo jimboni kwake, kutokana na kutafuta umaarufu wa kisiasa.

 

11 years ago

Habarileo

'Ukawa wamepanga kukwamisha Katiba mpya'

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Mwigulu Nchemba amesema, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamepanga kukwamisha mchakato wa Katiba mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Bunge kukwamisha bajeti Wizara ya Ujenzi’

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imesema kuwa haitapitisha bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa kile kilichoelezwa kubaini uozo wa ujenzi usiokidhi kiwango katika miradi ya miundombinu ya barabara wilayani Kyela mkoani Mbeya, ikieleza kwamba italazimika kutembea nchi nzima ili kujiridhisha na miradi hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM Zanzibar wajipanga kukwamisha Serikali tatu

Wabunge na Wawakilishi wa CCM Zanzibar tayari wamekutana na kupanga mkakati wa pamoja kwa nia ya kupinga Mfumo wa Muungano wa Serikali tatu uliopendekezwa katika Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imefahamika juzi visiwani Zanzibar.

 

11 years ago

Mwananchi

TZ, Kenya lawamani kwa kukwamisha biashara A.Mashariki

 Tanzania na Kenya zinakwamisha kuanza kazi kwa Kituo cha pamoja cha Mpakani (OSBP) cha Holili wilayani Rombo, ambapo ujenzi wake ulikamilika tangu Desemba mwaka jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani