CCM Zanzibar wajipanga kukwamisha Serikali tatu
Wabunge na Wawakilishi wa CCM Zanzibar tayari wamekutana na kupanga mkakati wa pamoja kwa nia ya kupinga Mfumo wa Muungano wa Serikali tatu uliopendekezwa katika Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imefahamika juzi visiwani Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Feb
‘Nitawashangaa wajumbe Zanzibar kupinga Serikali tatu’
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Mbowe aitahadharisha CCM kuhusu Serikali Tatu
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Molloimet: Kukataa serikali tatu, CCM ijiandae kuwa chama cha upinzani
10 years ago
Habarileo27 Sep
Ukawa wajipanga uchaguzi Serikali za Mitaa
VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimehimizana kushirikiana na kuja na nguvu ya pamoja katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
10 years ago
Habarileo03 Nov
CCM wajipanga kuuaga umasikini
IMEELEZWA kuwa endapo wanachama na viongozi wote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) watalipa ada zao kwa asilimia 100 kitakuwa na uwezo wa kukusanya Sh bilioni 12 kwa mwezi na kuzidi ruzuku inayotolewa na serikali kwa vyama vya siasa.
10 years ago
Dewji Blog19 Nov
Singida wajipanga kufanikisha uchaguzi wa serikali za mitaa
Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina, akitangaza ratiba ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka huu,mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani).
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida,imejipanga vema kwa ajili ya kuhakikisha uchaguzi wa serikali za mitaa 2014, unakuwa huru,haki na wa amani.
Hayo yamesemwa na msimamizi wa uchaguzi wa manispaa hiyo, Joseph Mchina, wakati akitangaza ratiba ya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu mbele ya waandishi...
10 years ago
Mwananchi16 Jul
CCM wajipanga kumng’oa Mdee Kawe
11 years ago
Mwananchi05 May
CCM yahoji Serikali ya Umoja Zanzibar
11 years ago
Habarileo15 Jan
CCM wajipanga kumnyang’anya jimbo Msigwa wa Chadema
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimetangaza mpango mkakati wa kulikomboa Jimbo la Uchaguzi la Iringa Mjini. Mpango huo ulitangazwa katika mkutano mkubwa, uliofanyika juzi kwenye uwanja wa Mwembetogwa mjini hapa. Jimbo hilo kwa sasa linaongozwa na Mchungaji Peter Msigwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) aliyechaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa 2010.