Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afrika Kusini yazuia kutawazwa kwa malkia mtoto

Mpango wa kundi moja la kikabila nchini Afrika Kusini lenye makao yake mkoani Limpopo wa kumfanya msichana mdogo wa miaka 10 kuwa malkia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Vita Sudan Kusini yazuia ajira kwa walimu nchini

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.SERIKALI imesema haiwezi kupeleka walimu nchini Sudan Kusini licha ya kuwa na soko kubwa la walimu kutokana na hali tete ya usalama nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Panya wamla mtoto Afrika Kusini

Mtoto wa mwezi mmoja anasubiri kufanyiwa upasuaji baada ya kung'atwa na panya huko Alexandra, Johannesburg

 

10 years ago

StarTV

Mtoto wa Rais Zuma atiwa hatiani Afrika Kusini.

Jopokazi moja nchini Afrika Kusini limesema kua mwanawe Jacob Zuma hakua makini alipokuwa anaendesha gari hadi kusababisha ajali ya barabarani ambapo mwanamke mmoja alifariki.

Awali kiongozi wa mashitaka hakuwa tayari kumchukulia hatua zozote za kisheria mwanawe Zuma.

Sasa atakabiliwa na shinikizo za kumfungulia mashitaka.

Gari la Duduzane Zuma aina ya Porsche iligonga gari dogo la abiria mjini Johannesburg mwezi Februari, na kumuua mwanamke huyo papo hapo.

Mwandishi wa BBC Pumza Fihlani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

REBECCA MALOPE: Malkia wa Injili Afrika, gumzo kwa mashabiki Tamasha la Pasaka 2014

JINA la Rebecca Malope si geni masikioni na machoni mwa wengi, hasa kwa wapenzi, mashabiki na wadau wa muziki wa Injili. Rebecca aliyezaliwa mwaka 1968, yu miongoni mwa waimbaji wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yazuia vikwazo vya UN Sudan Kusini

Urusi na Angola imezuia UN kuwekea vikwazo Paul Malong na Johnson Olony kwa mchango wao katika mapigano nchini Sudan Kusini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

YVONE CHAKA CHAKA: Mtoto wa kwanza mweusi runingani Afrika Kusini

YVONE  Chaka Chaka ni mwimbaji machachari mwenye sauti nyororo inayosindikizwa na haiba usoni mwake. Alizaliwa katika mji wa Dobsonville huko Soweto, nchini Afrika Kusini mwaka 1965, ambaye aliweka rekodi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:IOC yazuia wachezaji wa Afrika

Kamati ya Olimpiki duniani IOC imewazuia wachezaji kutoka mataifa yaliyoathirika na Ebola kushirki mashindano ya vijana China

 

10 years ago

BBCSwahili

Vijana wa Afrika kupata tuzo ya Malkia

Vijana 60 kutoka Afrika walioteuliwa kati ya mamia ya washirki, wanatarajiwa kupata tuzo ya Malkia wa Uingereza.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzanite yatota kwa Afrika Kusini

Matumaini ya Tanzania kucheza Fainali za Kombe la Dunia kwa wasichana imeingia kiwingu baada ya jana Tanzanite kufungwa na Afrika Kusini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani