Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Airtel Yatangaza Washindi wa Draw ya Pili ya Promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”

Afisa Uhusiano na matukio wa Airtel, Dangio Kaniki (kati) akiongea na mshindi aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya pili ya wiki ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel kutoka mikoa ya Musoma na Tabora walipatikana akichukua taarifa za mshindi (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha bwana Humudi Abdul Hussein na Afisa huduma za ziada Airtel bwana Fabian Felician. Droo hii imechezwa jana katika makao makuu ya Airtel Moroco jijini Dar es...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AIRTEL YATANGAZA WASHINDI WA DRAW YA PILI YA PROMOSHENI YA “JIONGEZE NA MSHIKO”‏

Afisa Uhusiano na matukio wa Airtel, Dangio Kaniki (katikati) akiongea na mshindi aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya pili ya wiki ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel kutoka mikoa ya Musoma na Tabora walipatikana akichukua taarifa za mshindi (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha bwana Humudi Abdul Hussein na Afisa huduma za ziada Airtel bwana Fabian Felician. Droo hii...

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL YATANGAZA WASHINDI WA KWANZA WA DROO YA PROMOSHENI YA "JIONGEZE NA MSHIKO"

Meneja uhusiano wa Airtel, Bwana Jackson Mmbando akiongea na mshindi
aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya wiki ya
promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel
kutoka mikoa ya Geita na Mtwara  walipatikana akichukua taarifa za
mshindi (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha
bwana Humudi Abdul Hussein na Afisa huduma za ziada  Airtel bwana
Fabian Felician.(kati) droo hii imechezwa leo katika makao makuu ya
Airtel Moroco jijini Dar es...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YATANGAZA WASHINDI WA KWANZA WA DROO YA PROMOSHENI YA "JIONGEZE NA MSHIKO"‏

Meneja uhusiano wa Airtel, bwana Jackson Mmbando akiongea na mshindi aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya wiki ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel kutoka mikoa ya Geita na Mtwara walipatikana akichukua taarifa za mshindi (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha bwana Humudi Abdul Hussein na Afisa huduma za ziada Airtel bwana Fabian Felician.(kati) droo hii...

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL YAPATA WASHINDI WATANO WA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO

 Afisa huduma za ziada wa Airtel bwana Fabian Felician akiongea na mshindi aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya tano ya wiki ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel kutoka mikoa ya Manyara na Bukoba walipatikana (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha bwana Bakari Majid (kushoto) droo hii imechezwa jana katika makao makuu ya Airtel Moroco jijini Dar es saalam.Afisa huduma za ziada wa Airtel, bwana Fabian Felician (kulia) akimkabidhi...

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YATANGAZA MSHINDI WA MILIONI 50 WA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO


Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (katikati) akiongea na mshindi wa droo ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko", Sylvester Kucas Boyo, mwanafunzi na mkazi wa Shinyanga alijishindia mil. 50 na Juma Sekele Maruka, Mwalimu mkazi wa Nyakato, Mwanza wateja wawili wa Airtel waliibuka washindi, (kushoto) ni Mkaguzi kutoka Bodi ya Michezo ya KJubahatisha, Humudi Abdul Hussein na Ofisa huduma za ziada Airtel, Fabian...

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YAPATA WASHINDI WATANO WA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO‏

Afisa huduma za ziada wa Airtel bwana Fabian Felician akiongea na mshindi aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya tano ya wiki ya promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel kutoka mikoa ya Manyara na Bukoba walipatikana (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha bwana Bakari Majid (kushoto) droo hii imechezwa jana katika makao makuu ya Airtel Moroco jijini Dar es saalam. Afisa huduma za...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yakabithi pesa kwa washindi wa promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”

Gabriel Ferdinand (kulia) mwanafunzi wa Musoma Mara
akikabidhiwa fedha na Meneja wa Airtel Musoma, Emmanuel Rafael
(Kushoto) baada ya kuibuka mshindi wa droo ya pili ya promosheni ya
“Jiongeze na Mshiko”.Wakazi wawili wa Tabora na Musoma wameeleza furaha yao mara baada ya Kampuni ya mawasiliano ya Airtel kuendelea kukonga nyoyo za wateja wake na Watanzania kwa ujumla kwa kuwatangaza na kuwakabithi pesa zao baada ya kuibuka washindi wa wiki ya pili ya promosheni inayoendelea ya “Jiongeze na...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yatangaza washindi wa droo ya nne ya “Jiongeze na Mshiko”

Airtel Tanzania imetanga washindi  wa droo yake ya nne ya promosheni  ya "Jiongeze na Mshiko"  katika ofisi za makao makuu ya Airtel zilipo Morocco jijini Dar Es Salaam, ambapo wateja wanaweza kushinda zawadi ya fedha kila wiki ya shilingi tatu , milioni  moja na mwisho wa promosheni mteja ataweza kuondoka na kitita cha shilingi milioni 50.
Akiongea wakati wa droo hiyo, Afisa uhusiano na matukio wa Airtel  Dangio Kaniki alisema leo tunatangaza washindi wawili wa  promosheni ya "Jiongeze na...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAKABITHI PESA KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA “JIONGEZE NA MSHIKO”

Gabriel Ferdinand (kulia) mwanafunzi wa Musoma Mara akikabidhiwa fedha na Meneja wa Airtel Musoma, Emmanuel Rafael (Kushoto) baada ya kuibuka mshindi wa droo ya pili ya promosheni ya “Jiongeze na Mshiko”. Hamisi Rashid (kulia) mkulima wa Sikonge, Tabora akikabidhiwa fedha na Meneja wa Airtel Tabora, Phidelis Lugangila (Kushoto) baada ya kuibuka mshindi wa droo ya pili ya shindano la “Jiongeze na Mshiko”....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani