Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJALI YATOKEA KATIKA BARABARA YA ALI HASSAN MWINYI USIKU WA KUAMKIA LEO

Gari aina ya Toyota Rav4 yenye nambari za usajli T 141 AHS likiwa katika mtaro wa katikati ya Barabara ya Ali Hassan Mwinyi,Maeneo ya Namanga mara baada ya kugongana kwa ubavuni na Gari nyingine aina ya Toyota Vits yenye nambari za usajili T 551 CUP.Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi waliokuwa nao Madereva wa magari hayo.Madereva wa Magari yote walitoka salama. Gari… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Ajali katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi Rodi Usiku huu

 Gari aina ya Toyota Rav4 yenye nambari za usajli T 141 AHS likiwa katika mtaro wa katikati ya Barabara ya Ali Hassan Mwinyi,Maeneo ya Namanga mara baada ya kugongana kwa ubavuni na Gari nyingine aina ya Toyota Vits yenye nambari za usajili T 551 CUP.Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo wasi waliokuwa nao Madereva wa magari hayo,hali iliyopelekea hiyo Vits kuigonga kwa hiyo Rav4 na zote kutoteza mwelekeo na kwenda kuingia mitaroni.Madereva wa Magari yote walitoka salama salimi. Gari aina ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Video: Shimo hatari Barabara ya Ali Hassan Mwinyi lazibwa

Untitled

LILE Shimo hatari lililokuwa kero kwa watumiaji na kuripotiwa na Global TV Online juzi Jumatatu Mei 5, 2014 limezibwa kwa sehemu kubwa. Shimo hilo lilikuwa katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar es Salaam. Ungana na Global TV Online kushuhudia shimo hilo lilivyozibwa!

 

11 years ago

Michuzi

shimo hatari barabara ya Ali hassan Mwinyi jijini Dar es salaam

Shimo hatari lililopo katika Barabara ya Ali Hassan Mwinyi jirani na Kituo cha ITV, Mwenge jijini Dar ambalo limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo! Ungana na Global TV Online kushuhudia tukio hilo!

 

10 years ago

Michuzi

alhaj ali hassan mwinyi na mhe edward lowassa katika sherehe za miaka 20 ya shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai, monduli, leo

Mbunge wa Monduli na waziri mkuu wa zamani Mh Edward Lowassa na mkewe Mama Regina Lowassa wakimkaribisha Rais mstaafu wa awamu ya pili Alhaji Ali Hassan Mwinyi na mkewe Mama Sitti Mwinyi  katika sherehe za miaka 20 ya shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai,leo Jumamosi,24 January Monduli Mlimani, kata ya Engutoto. Rais mstaafu wa awamu ya pili Al hadji Ali Hassan Mwinyi akizindua moja ya sanamu za kumbukukumbu ya waanzishi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Maasai ambayo imeadhimisha...

 

10 years ago

GPL

ALI KIBA AVAMIWA USIKU WA KUAMKIA LEO

Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba. MSANII wa Bongo Fleva, Ali Kiba usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam, alivamiwa na kundi la watu wapatao 20 wanaodhaniwa kuwa ni majambazi. Ali Kiba akiwa katika pozi. Watu hao waliokuwa na silaha za aina tofauti yakiwemo mapanga, visu na silaha za moto walifanikiwa kuvunja kuingia ndani na kuwadhuru baadhi ya ndugu wa Ali Kiba na kuiba mali na kila kitu ambacho...

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI ALIYOTOA KATIKA KUFUNGA MKUTANO WA MABALOZI WA HESHIMA

Your Excellency Liberata Mulamula, Ambassador of the United Republic of Tanzania to the United States;

Honourable Mayors here present;

Distinguished Honorary Consuls and Honorary Consuls Designate;

Embassy Officials;

Members of the Tanzania Community in the USA;

Invited Guests;

Ladies and Gentlemen.

I sincerely thank you, Ambassador Liberata Mulamula and the Tanzanian Embassy, for associating me with this solemn occasion of the consultative meeting between the Embassy of Tanzania and Honorary...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA ZIARA YA RAIS MSTAAFU ALHAJJ DR ALI HASSAN MWINYI KATIKA JAMHURI YA KIISLAMU YA IRAN



 Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh.Ali Hassan Mwinyi amefanya ziara ya siku tatu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Ziara hiyo ya Rais Mstaafu inafuatia mwaliko wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran uliomuomba kuwa mgeni mashuhuri katika sherehe za kuadhimisha miaka hamsini na mbili (52) ya Afrika.
 Siku ya Afrika huadhimishwa tarehe 25 Mei na mataifa ya Afrika pamoja na Mabalozi na Wawakilishi wa mataifa hayo duniani kote, ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya kuasisiwa kwa...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA PILI MHE, ALHAJ ALI HASSAN MWINYI AHUDHURIA CHAKULA CHA JIONI. Posted: 30 Apr 2015 12:57 PM PDT Mhe, Balozi Liberata Mulamula akiwa na wageni wake Rais mstaafu wa awamu ya pili Mhe, Alhaj Ali Hassan Mwinyi pamoja na mama Sitti

Mbunge wa Mvomero Mh, Amos Makalla ameridhia pendekezo la wananchi kumuona Waziri Mkuu Mh, Mizengo Pinda kufuatia mapigano ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita ambapo watu watatu walipoteza maisha huku wengine wengi wakijeruhiwa baada ya wafugaji kulishia Mazao ya wakulima katika mashamba yaliopo bonde la mgongola.  Kutokana na hali hiyo, Mbunge huyo kwa kushirikiana na Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama waliitisha mkutano wa hadhara kijiji cha Kugugu kuongea na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani