Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALI KIBA MASHABIKI WATARAJIE MAPINDUZI YA MUZIKI

Omary Mdose Dar es Salaam
STAA wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Ally Saleh ‘Ali Kiba’, amefunguka mengi kuelekea katika shoo anayotarajiwa kufanya Aprili 5, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, Dar. Staa wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Ally Saleh ‘Ali Kiba’. Hii itakuwa ni mara nyingine kwa msanii huyo kupanda jukwaani hapo baada ya kufanya hivyo miaka miwili...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ALI KIBA AAHIDI KUWACHEKETUA MASHABIKI WAKE

Msanii wa kizazi kipya anayetamba na wimbo wa Chekecha Cheketua, Ali Saleh ‘Kiba’ (katikati) akielezea alivyojipanga kutoa burudani ya nguvu katika shoo yake ya Mwana Dar Live itakayofanyika Sikukuu ya Pasaka ndani ya Dar Live. Kulia ni MC Darada na Msaga Sumu (kushoto). Wasanii watakaotumbuiza kwenye shoo ya Mwana Dar Live Sikukuu ya Pasaka wakiwa katika picha ya pamoja na wadhamini sambamba na waandaaji wa...

 

9 years ago

Global Publishers

Ali Kiba apagawisha mashabiki wake Escape One

IMG_8002

Ali Kiba akikonga nyoyo za mashabiki wake katika ukumbi wa Escape One Mikocheni usiku wa kuamkia leo.IMG_8026…Akipozi kwa ajili ya selfee.IMG_8050…Akichekecha  na kucheketua.IMG_7999

IMG_8000

IMG_7998

Mashabiki waliofurika kwenye onyesho hilo wakiimba na kucheza pamoja na Ali Kiba

 

10 years ago

CloudsFM

Ali Kiba kukutana na mashabiki wake kupitia #‎ChekeTOUR‬

#ChekeTOUR ya #MwanaWenu inaanza wiki hii - Kanda ya kaskazini ndio shughuli inaanzia.
Ijumaa hii 6.3.2015 - Moshi @ClubLaLiga
Jumamosi 7.3.2015 - Arusha @ClubTripleA
Jumapili 8.3.2015 - Namanga @BreezingPoint

Sasa mpango upo hivi - kwa heshima na taadhima @officialalikiba anaomba umpangie playlist ya ngoma zake ambazo ungependa ushuhudie akiimba siku ya show, mavazi na muda wa performance. Kwa kila mkoa watachaguliwa mashabiki watano ambayo watakuwa wameipanga vizuri show. Watajishindia...

 

10 years ago

Mtanzania

Ali Kiba ang’ara tuzo za muziki Tanzania 2015

AlikibaNa Festo Polea
MSANII Ali Kiba anayetamba na wimbo wa ‘Mwana’ na ‘Chekecha’, ameng’ara usiku wa juzi kwa kunyakua tuzo sita za muziki Tanzania zilizotolewa katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Tuzo alizonyakua ni wimbo bora wa Afro Pop, mtunzi bora wa mwaka Bongo Fleva, mtumbuizaji bora wa muziki wa mwaka wa kiume, mwimbaji bora wa kiume Bongo Fleva, wimbo bora wa mwaka na wimbo bora wa kushirikishwa na Mwana FA.
Katika tuzo hizo zilizoongozwa na mtangazaji wa kituo cha redio,...

 

10 years ago

CloudsFM

ALI KIBA AWASHUKURU MASHABIKI WAKE KWA KUISAPOTI MWANA DSM

Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba amewashukuru mashabiki wake kwa kusapoti ngoma zake ikiwemo Mwana Dsm ambayo aliitoa mwaka jana lakini kutoka na sapoti kubwa ya mashabiki hadi leo inafanya vyema kwenye vituo mbalimbali vya redio na tv.

Ali Kiba amewashukuru mashabiki wake kupitia mtandao wa Instagram na kuandikia hivi… Shout outs na shukurani nyingi sana kwa support yenu- kurequest nyimbo zangu kwenye redio na TV na comments zenu on social media zangu. Nawaona wote sema siwezi kuwajibu moja...

 

9 years ago

Bongo5

Malumbano kati ya mashabiki wa Alikiba na Diamond yanaathiri muziki wangu — Abdul Kiba

Mdogo wake na Alikiba, Abdul Kiba amesema muziki wake unaathiriwa na malumbano yasiyoisha kati ya mashabiki wa Kiba na Diamond. Abdul Kiba aliyewahi kutamba na wimbo Kidela aliomshirikisha kaka yake huyo, amekiambia kipindi cha Siz Kitaa kinachorushwa na Clouds TV kuwa mashabiki wa wasanii hao wamekuwa wakimshambulia yeye bila sababu yoyote. “Zimeathiri kwa sababu muziki […]

 

10 years ago

Mwananchi

Ali Kiba; Nyota wa muziki aliyerudi kwa kasi katika kiti chake

Asilimia kubwa ya wapenda burudani Afrika Mashariki kwa sasa wanazungumzia kuhusu ujio wa msanii wa muziki wa kizazi kipya Ali Salehe Kiba, maarufu kama Alikiba.

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA FIESTA 2014: DAVIDO, ALI KIBA, DIAMOND NA T.1 WAZUA GUMZO KWA MASHABIKI

Tamasha la Serengeti Fiesta 2014, usiku wa kuamkia leo lilifunga mitaa ya Jiji la Dar na viunga vyake ambapo burudani ya kufa mtu ilidondoshwa kwenye Viwanja vya Leaders, Kinondoni jijini Dar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani