Alikiba kulipua ‘bomu’ lingine Ijumaa hii (Feb.27) ‘Chekecha’
Baada ya mwaka jana 2014 kuuvunja ukimya uliotawala kwa miaka mingi kwa kuachia single ya ‘Mwana’, Alikiba anategemea kutoa wimbo wake mpya wa 2015. Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii Alikiba ameshare cover za wimbo mpya uitwao ‘Chekecha’ unaotarajiwa kutoka Ijumaa Feb 27. Wimbo huo umefanyika kwenye studio ya Combinenga chini ya producer Man […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo518 Dec
Video ya ‘Mwana’ ya Alikiba kuanza kuoneshwa Ijumaa hii
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/AXlF1aePE_A/default.jpg)
10 years ago
GPL30 Jun
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ZbCmbWktYh4/default.jpg)
9 years ago
Bongo525 Oct
Game ya Navy Kenzo na Chekecha Cheketua ya Alikiba zajumuishwa kwenye mix ya ‘Africa In Your Earbuds’ ya Jidenna & Nana Kwabena
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Mishumaa ya Kale LIVE .Ijumaa hii na kila Ijumaa
![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s1600/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Mishumaa ya Kale...Ijumaa hii na kila Ijumaa
![](http://4.bp.blogspot.com/-pB1_totHtgM/VIjl849P_-I/AAAAAAAAHoQ/o0g55tqUdyc/s1600/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-UsT6pULwlUs/VPEkpVhVebI/AAAAAAAAH98/11w7TYDHbQ0/s72-c/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Marudio ya kipindi cha MISHUMAA YA KALE.....Ijumaa Feb 27, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-UsT6pULwlUs/VPEkpVhVebI/AAAAAAAAH98/11w7TYDHbQ0/s1600/Mishumaa%2BFinal%2BProject%2B(1).jpg)
Hiki ni kipindi cha Ijumaa, January 23, 2015.
MISHUMAA YA KALE ni kipindi kinachokuwezesha "kuruka majoka" na "kula mangoma" kwa kusikiliza nyimbo ziliotamba miaka ya zamani, kupata historia ya wasanii na vikundi mbalimbali na pia kusikiliza mazungumzo na maDj na wasanii mbalimbali wa zamani.
Ungana na MixMaster Dj Luke Joe kwenye "one and two" na Mubelwa Bandio nyuma ya kipaza sauti kwenye kipindi kipya cha ...
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Mwanza Ku-Jembeka na Sauti SOL Jumamosi hii Feb 21 ndani ya Jembe Beach
Hatimaye ule mpango mzima wa kuzifungulia burudani ulioasisiwa na redio mpya ya jijini Mwanza JEMBE FM na kubatizwa jina ‘JEMBEKA’ unaanza rasmi jumamosi ya wiki hii tarehe 21/02/2015 ndani ya kiota cha burudani cha kitalii Jembe Beach Mwanza.
Burudani itakayo fungua mpango huo wa ‘JEMBEKA’ ni kutoka kwa kundi maarufu Afrika Mashariki lililovuka mipaka na sasa muziki wake kuchezwa hadi barani Ulaya kundi la Sauti Sol toka nchini Kenya ambao watapiga muziki LIVE.
Vijana wa Nyumbani JJ Band...