Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyeua simba Zimbabwe asema hakukosea

Daktari wa meno aliyeua simba maarufu Zimbabwe asema hakukosea

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Rais Mugabe wa Zimbabwe asema 'Sing'atuki ng'o!' madarakani


Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amelaumu watu fulani ndani ya chama tawala cha ZANU-PF kwamba wanapanga kumng'atua mamlakani.
Akihutubia kongamano la chama hicho, Mugabe amesema kuwa kuna majaribio ya kuwahonga wajumbe kumpinga kama kiongozi, lakini wajumbe hawawezi kupokea hongo.

Kwa hilo amesema kuwa atapambana na rushwa ndani ya chama na kukabiliana na maafisa wa chama ambao kazi yao ni kutoa hongo.Wanachama wengi wa chama hicho wangali ni wafuasi sugu wa Rais Mugabe

Hasira ya Mugabe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zimbabwe:Waliomuua simba Cecil kushtakiwa

Wanaume wawili wanatarajiwa kufikishwa mahakamani nchini Zimbabwe baadaye leo wakishtakiwa kwa makosa ya uwindaji , baada ya simba maarufu nchini humo kuuawa na mtalii mmoja raia wa Marekani .

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyemuua simba maarufu Zimbabwe asakwa

Msako mkali unaendelea nchini Zimbabwe dhidi ya mwindaji haramu aliyemuua mmoja kati ya simba maarufu nchini humo .

 

11 years ago

Habarileo

‘Rais Kikwete hakukosea’

Said NkumbaKITENDO cha baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kukosoa hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutoa maoni yake kuhusu rasimu ya Katiba, kimekosolewa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zimbabwe: Aliyemuua simba Cecil aomba radhi

Raia wa Marekani anayeshtumiwa kwa kuua simba maarufu nchini Zimbabwe ameomba radhi akisema hakujua simba huyo alikuwa amelindwa

 

11 years ago

Mwananchi

Onyesheni BinSlum hakukosea kuwadhamini

Katika siku za karibuni, klabu za Mbeya City ya Mbeya, Ndanda FC ya Mtwara na Stand United ya Shinyanga, zimepata udhamini wa mamilioni na Nassor BinSlum kupitia kampuni yake ya BinSlum.

 

9 years ago

StarTV

Maguli asema Nimefarijika kuachana na Simba

LIMEKUWA jambo la kawaida kwa timu kubwa za soka hapa nchini, kila inapofikia kipindi cha usajili kuibua matatizo mbalimbali ya wachezaji ikiwemo madeni au wachezaji kuachwa bila utaratibu.

Ikiwa dirisha la usajili linatarajia kufungwa leo kwa klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza, bado matatizo kama hayo yameendelea kujitokeza licha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutoa onyo kwa klabu zenye mtindo huo.
Hivi karibuni kulizuka suala la mshambuliaji wa Simba,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani