Amnesty:Jeshi Nigeria limetenda uhalifu
Shirika la Amnesty International linadai kufanywa uhalifu wa kivita Kaskazini mashariki mwa Nigeria, ambako wanajeshi wanapambana na Boko Haram.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Amnesty yakosoa jeshi la Nigeria
Shirika la Amnesty International, limelishutumu jeshi la Nigeria kwa kushindwa kuwalinda raia katika mji wa Baga dhidi ya Boko Haram
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Amnesty:Jeshi liliua Nigeria Kaskazini
Amnesty International limesema linaushahidi kuwa jeshi la Nigeria lilitekeleza uhalifu wa kivita Kaskazini Mashariki.
9 years ago
TheCitizen17 Sep
Nigeria mulls Boko Haram prisoner amnesty for girls
President Muhammadu Buhari told AFP yesterday that Nigerian authorities were talking to Boko Haram prisoners in their custody and could offer them amnesty if the extremist group hands over more than 200 schoolgirls abducted last year.
10 years ago
Habarileo03 Apr
Jeshi la Polisi lajipanga kukabili uhalifu Pasaka
JESHI la Polisi nchini limewataka wananchi kujiepusha na vitendo vya uhalifu na kuwa makini na mali zao wakati huu wa sikukuu ya Pasaka.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HFQqnDfkm2w/XrVv5O-ussI/AAAAAAALpgg/hwlAEQOUcwULbr1owUwHsq-Ly1QJ8yttgCLcBGAsYHQ/s72-c/JB9A1478AAA-768x512.jpg)
TAARIFA YA UHALIFU KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HFQqnDfkm2w/XrVv5O-ussI/AAAAAAALpgg/hwlAEQOUcwULbr1owUwHsq-Ly1QJ8yttgCLcBGAsYHQ/s640/JB9A1478AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/JB9A1489AAA-1024x682.jpg)
…………………………………………………………………………….
KUJIPATIA FEDHA KWA NJIA YA UDANGANYIFU [MTANDAO WA KIJAMII].
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili 1. SOPHIA ELIA MWALUANDA [22] Mfanyabiashara na Mkazi wa Sistila Jijini Mbeya na 2. MPAJI SELEMAN MWINYIMVUA [38] Mkazi wa Manzese Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwa kutumia akaunti feki ya “facebook” yenye jina la Mheshimiwa Mama Janeth Magufuli Mke wa Mheshimiwa Rais wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zkWFL3o-zUg/XtUMLaY2iwI/AAAAAAALsOQ/G7t-D3eYL6ASoGwu2NV9D6Gl80244I6pgCLcBGAsYHQ/s72-c/UU.jpg)
JESHI LA POLISI KUWACHUKULIA HATUA KALI WATU WANAOJIHUSISHA NA UHALIFU WA KUTUMIA SILAHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zkWFL3o-zUg/XtUMLaY2iwI/AAAAAAALsOQ/G7t-D3eYL6ASoGwu2NV9D6Gl80244I6pgCLcBGAsYHQ/s640/UU.jpg)
IGP Sirro amesema hayo leo akiwa mkoani Tabora ambapo alizungumza na Polisi Kata waliopo kwenye mkoa huo huku akiwataka kuhakikisha kuwa kila mtu anatimiza wajibu wake hasa tunapoelekea kwenye kipindi cha uchaguzi mkuu sambamba na kuwachukulia hatua wale wasiotaka...
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI SHINYANGA LAAHIDI KUSHIRIKIANA NA WAANDISHI WA HABARI KUTOKOMEZA VITENDO VYA UHALIFU
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba akizungumza leo Ijumaa Aprili 10,2020 katika kikao kazi chake na waandishi wa habari kilicholenga kujadili masuala mbalimbali ya ulinzi na usalama kilichofanyika katika Hoteli ya Travellers mjini Shinyanga. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
10 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOANI TABORA LAENDELEA NA OPERESHENI TOKOMEZA UHALIFU,WATANO WATIWA MBARONI
11 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAWASHIKILIA WATU AROBAINI NA TANO KWA MAKOSA MBALIMBALI YA UHALIFU
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linashikilia arobaini na tano kwa makosa mbalimbali ya uhalifu katika msako wa wahalifu uliofanyika tarehe kati ya tarehe 27/02/2014 hadi 01/03/2014.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi David A. Misime - SACP amesema tarehe 27/02/2014 walikamatwa jumla a watuhumiwa 42 kwa makosa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania