Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Atumia jina la rais kupora ardhi

JINA la Rais Jakaya Kikwete na Waziri Samuel Sita yamehusishwa kwenye uporaji wa ardhi ya mwekezaji mzawa, Ester Shayo, baada ya mtu aliyetajwa kwa jina la Kombo Juma kudai mwekezaji...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Jina la Rais latumika uporaji ardhi

WATUMISHI wanne wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo wanalalamikiwa na wananchi katika wilaya hiyo kwa kile kinachodaiwa kupanga njama za kutaka kupora ardhi ya vikongwe kwa madai kuwa eneo hilo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwekezaji adaiwa kupora ardhi hekari 3,700

BAADHI ya wananchi wa Kijiji cha Bihata, Kata ya Kyebitembe Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wamedai kuporwa ardhi yao ipatayo hekari 3,700 na mwekezaji, Diolex Joseph. Pia wananchi hao wanalalamikia...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AAGA RASMI UMOJA WA AFRIKA, ATUMIA KISWAHILI KATIKA HOTUBA YAKE YA MWISHO

Rais Kikwete: Sera ya Nje itabakia ile ile
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa siasa ya nchi za nje na misingi mikuu ya kuongoza mahusiano ya Tanzania na nchi za kigeni hayatabadilika hata baada ya yeye kuondoka madarakani mwanzoni mwa Novemba, mwaka huu, 2015.
Aidha, Rais Kikwete amewahakikishia viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuwa yeye anaondoka madarakani lakini Tanzania waliyoizoea na kuijua itabakia pale pale na...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete atumia Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Lewis Makame



Marehemu Jaji Mstaafu,Lewis Makame enzi za uhai wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za  Rambirambi Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, National Electoral Commission (NEC) kufuatia taarifa za kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame kilichotokea katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014. 
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Gambia aongezewa jina jingine

Rais wa taifa la Gambia ambaye amekaa kwa kipindi kirefu madarakani Yahya Jammeh ameongezwa jina la Babili Mansa juu ya jina lake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais akataa jina lake kutumiwa

Rais wa Korea kazkazini awataka wananchi wake kutotumia jina lake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je, wajua 'Mbuzi' ni jina la utani la rais wa Ghana

Moja la bango lililokuwa limebebwa na waandamanaji hii leo katika mji wa Accra nchini Ghana huenda likaonekana kama lenye ujumbe m'baya kwa mtu asiyeelewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani