Atumia jina la rais kupora ardhi
JINA la Rais Jakaya Kikwete na Waziri Samuel Sita yamehusishwa kwenye uporaji wa ardhi ya mwekezaji mzawa, Ester Shayo, baada ya mtu aliyetajwa kwa jina la Kombo Juma kudai mwekezaji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Jina la Rais latumika uporaji ardhi
WATUMISHI wanne wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo wanalalamikiwa na wananchi katika wilaya hiyo kwa kile kinachodaiwa kupanga njama za kutaka kupora ardhi ya vikongwe kwa madai kuwa eneo hilo...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Mwekezaji adaiwa kupora ardhi hekari 3,700
BAADHI ya wananchi wa Kijiji cha Bihata, Kata ya Kyebitembe Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wamedai kuporwa ardhi yao ipatayo hekari 3,700 na mwekezaji, Diolex Joseph. Pia wananchi hao wanalalamikia...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/TOtRZUFB3JA/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/_Ri1iAhT19c/default.jpg)
RAIS KIKWETE AAGA RASMI UMOJA WA AFRIKA, ATUMIA KISWAHILI KATIKA HOTUBA YAKE YA MWISHO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa siasa ya nchi za nje na misingi mikuu ya kuongoza mahusiano ya Tanzania na nchi za kigeni hayatabadilika hata baada ya yeye kuondoka madarakani mwanzoni mwa Novemba, mwaka huu, 2015.
Aidha, Rais Kikwete amewahakikishia viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuwa yeye anaondoka madarakani lakini Tanzania waliyoizoea na kuijua itabakia pale pale na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pI-srGR1f1g/U_MWNC-xCUI/AAAAAAAGArM/vwRy04yWoX8/s72-c/LewisJaji.jpg)
Rais Kikwete atumia Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Lewis Makame
![](http://4.bp.blogspot.com/-pI-srGR1f1g/U_MWNC-xCUI/AAAAAAAGArM/vwRy04yWoX8/s1600/LewisJaji.jpg)
Marehemu Jaji Mstaafu,Lewis Makame enzi za uhai wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, National Electoral Commission (NEC) kufuatia taarifa za kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu, Mheshimiwa Lewis Makame kilichotokea katika Hospitali ya AMI Trauma Centre Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Agosti, 2014.
“Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za...
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Rais wa Gambia aongezewa jina jingine
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Je, wajua 'Mbuzi' ni jina la utani la rais wa Ghana