Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AUDIO: New Single by Gosby Feat. Ommy Dimpoz — Naogopa

#naogopa

The single is titled ‘Naogopa’ and features Ommy Dimpoz. The track was produced by Nahreel, additional instrumentals by Erasto Machine, mixed and mastered by Marco Chali.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kilivyohappen kwenye uzinduzi wa video ya single mpya ya Ommy Dimpoz ‘Achia Body’…..

Hatimaye Ommy Dimpoz usiku wa kuamkia leo Dec 19 ametambulisha rasmi video ya single yake mpya iitwayo Achia Body kwenye ukumbi wa Golden Jubilee Towers Dar es Salaam. Hizi ni baadhi ya picha za uzinduzi huo kama zilizovyonasa na ripota wa millardayo.com Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]

The post Kilivyohappen kwenye uzinduzi wa video ya single mpya ya Ommy Dimpoz ‘Achia Body’….. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Sentensi za Ommy Dimpoz kuhusu single mpya ‘Achia Body’ pamoja na uzinduzi wa video!!!

Inawezekana ni muda mrefu sana haujamsikia Ommy Dimpoz akizimiliki headlines kwenye ma Radio na TV, sasa time anatarajia kuachia single mpya iitwayo Achia Body iliyotayarishwa na Man Water & Mo Fire. Akiongea na ripota wa millardayo.com alisema..’Baada ya kimya cha muda mrefu kutokana na tours zangu kwahiyo imepita kipindi kirefu sana mashabiki zangu walikuwa wanasubiri […]

The post Sentensi za Ommy Dimpoz kuhusu single mpya ‘Achia Body’ pamoja na uzinduzi wa video!!! appeared first on...

 

10 years ago

CloudsFM

Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.

Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...

 

10 years ago

GPL

10 years ago

Mtanzania

Mashabiki wamkera Ommy Dimpoz

ommyNA JUMA HEZRON, TSJ
MSANII wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anachukizwa na tabia ya mashabiki ambao wamekuwa wakifanya fujo kwenye shoo mbalimbali za wasanii.
Akizungumza na MTANZANIA leo, Ommy Dimpoz alisema kitendo hicho siyo cha kiungwana, mashabiki wamekuwa wakikosea na kuwavunjia heshima wasanii.
“Mashabiki wanatuogopesha, imekuwa kama jambo la kawaida kutufanyia vurugu na kusahau kuwa tunafanya shoo ili kuwapa burudani,” alisema Ommy Dimpoz.
Alisema mashabiki na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani