Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HELLO BABY - AVRIL FT OMMY DIMPOZ

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Video: Avril ft. Ommy Dimpoz — Hello Baby

Baada ya kuachia audio ya wimbo wake mpya aliomshirikisha Ommy Dimpoz siku chache zilizopita, mwimbaji wa Kenya Avril tayari ametoa video ya wimbo huo uitwao ‘Hello Baby’. Itazame hapa.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Avril f/ Ommy Dimpoz — Hello Baby

Wimbo mpya wa Avril aliomshirikisha Ommy Dimpoz. Umetayarishwa kwa ushirikiano wa Man Water na Ogopa Deejays.

 

10 years ago

Vijimambo

Ommy Dimpoz and Avril Get a Bit Naughty. What Are They Up To? Find Out #HelloBaby

Tanzanian singer Ommy Dimpoz cant seem to get his eyes off Kenyan singer Avril's Fundamentals . A few weeks ago Avril hinted on a collabo with Tanzanian Ommy Dimpoz and indeed it was. Their news song is set to drop tomorrow Ommy broke the news on social media. "Video tomorrow stay tuned #HelloBaby Avril feat Dimpoz...Le Shepuzzz ��Le Mgongoozzzz Le kijunguzzzz����" he said.

 

10 years ago

CloudsFM

Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.

Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Ommy Dimpoz kuwapenda wanaomchukia

dimpozNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema hakuna haja ya kuwajengea chuki watu wanaojifanya kukupenda lakini hawafurahishwi na mafanikio yako.
Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, Dimpoz ambaye alishindwa kufanya shoo nchini Marekani kutokana na visa yake kuwa na mapungufu, alisema imekuwa ni jambo la kawaida wasanii kuchukiwa bila sababu za msingi.
“Unajua mara nyingi unapoamua kuweka chuki sababu ya watu fulani ambao...

 

10 years ago

Mtanzania

Mashabiki wamkera Ommy Dimpoz

ommyNA JUMA HEZRON, TSJ
MSANII wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anachukizwa na tabia ya mashabiki ambao wamekuwa wakifanya fujo kwenye shoo mbalimbali za wasanii.
Akizungumza na MTANZANIA leo, Ommy Dimpoz alisema kitendo hicho siyo cha kiungwana, mashabiki wamekuwa wakikosea na kuwavunjia heshima wasanii.
“Mashabiki wanatuogopesha, imekuwa kama jambo la kawaida kutufanyia vurugu na kusahau kuwa tunafanya shoo ili kuwapa burudani,” alisema Ommy Dimpoz.
Alisema mashabiki na...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani