Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AUNT FIFI AWA MCHUNGAJI

Na Mwandishi Wetu
BAADA ya kuona filamu zinazidi kuwa za kihuni, msanii wa siku nyingi kwenye tasnia ya filamu Bongo, Tumaini Alfred ‘Aunt Fifi’ ameamua kugeukia upako na hadi sasa ameshawaombea watu mbalimbali wenye ukimwi, viziwi na kupona kabisa. Aliyekuwa msanii wa Filamu Bongo, Tumaini Alfred ‘Aunt Fifi’. Akizungumza na Amani, Aunt Fifi alisema amekuwa akipita nyumba hadi nyumba kwa ajili ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jaji Ramadhani awa mchungaji Anglikana

>Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino Ramadhani ametawazwa kuwa Mchungaji wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Zanzibar na kusema ameshangazwa na mashambulizi ya tindikali dhidi ya viongozi wa dini Visiwani humo.

 

11 years ago

Habarileo

Kinana awa mbogo

KATIBU Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, amejikuta akigeuka mbogo na kuwaomba radhi wakazi wa kata ya Kirema, wilayani Mpanda mkoani Katavi, baada ya kubaini kuwa, watendaji wa Serikali wamempatia zabuni ya ujenzi wa bandari nne mkandarasi asiye na uwezo kifedha na kitaalamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani