AZAM FC YAIPIGA 'MKONO' MTIBWA SUGAR
TIMU ya Azam FC imeibuka na ushindi mnono wa mabao matano 'mkono' dhidi ya mawili yaliyofungwa na Mtibwa katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es Salaam jioni hii. Mabao ya Azam yamefungwa na Didier Kavumbagu aliyetupia mawili pamoja na Frank Domayo ambaye naye amefunga mawili huku bao la mwisho likiwekwa kimiani na Kipre Tchetche. Mabao mawili ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Musa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0004.jpg)
NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI
10 years ago
GPLARSENAL YAICHAPA 'MKONO' ASTON VILLA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
ATHUMANI IDDI 'CHUJI' ATUA AZAM FC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9fmojbSGpCVY9TW54lhlj-ptX7F*gkaWxvLUUMfsGtJMtgH59svzjuFjg0jwmEqXG5NomQBFZbiGCm0rxkjtgMs/hands.in.the.air.gif?width=650)
MKE WA OBAMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YA MIAKA 5 YA KAMPENI YAKE YA 'LET'S MOVE' KWA DANSI
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa
Mchezo wa pili wa Kundi B wa michuano ya Mapinduzi 2016 ulichezwa usiku wa January 3 kwa kuzikutanisha klabu za Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC. Huu ni mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya goli 1-1, baada ya Azam FC kusawazisha goli, lakini pia kuna goli lilifungwa na Mtibwa Sugar lilikataliwa na muamuzi na kuleta […]
The post Cheki Video ya magoli ya Mtibwa Sugar dhidi ya Azam FC, Mtibwa wakimbadilikia refa baada ya goli lao kulikataa appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Azam yaichakaza Mtibwa Sugar
10 years ago
MichuziAzam FC yaiadhibu Mtibwa Sugar leo,yaichapa bao 5-2
Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao lao la tano dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Azama Complex jijini Dar es Salaam. Azam ilishinda 5-2. (Picha na Francis Dande)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6q4t4dNL56l1K71n8k6c8fi1Bx8MTknm9V2GDnC4FoPldMUU9IqqQtr*pKNl7Bj*oHbMlxwtxIUsfExtpPFSfnum4uPqE*-8/02.jpg?width=650)
KAMPUNI YA TTCL YAANZISHA KITUO CHA INTERNETI 'IP POP'
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10