BABA: MAMA KANUMBA ANA LAANA
![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El8ObMKaYKptN6O09eZikX2AtvmKONkVv45yKf9CoO*ZfjWgROR6FSPwTsbF3CD89oc1gT7W7wy6tmG8zI5EFX-m/h.jpg?width=650)
Stori: Laurent Samatta/Risasi BABA wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba amemchana mzazi mwenzake, Flora Mtegoa kuwa anateswa na laana na ndiyo maana hafanikiwi. Baba wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba. Mzee huyo alisema mama Kanumba ameshindwa kufanikiwa katika mambo mengi likiwemo suala la kuendeleza ofisi ya marehemu kutokana na kushindwa kumshirikisha yeye kama baba na ndiyo maana amepata laana....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0Yk5nXCP3opYZUlFLA9uhGns2oOx7qGF9YZ4Ulsi6*O6kCXBz9962E6hvQRaQIbuwhnrBfZpeLPzZWc-MmaavlGA/babakanumba.jpg?width=650)
BABA KANUMBA: NITAMPELEKA MAMA KANUMBA SEGEREA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5EgzxUmAcRUliO-N2yZYRsdW2vmbxyM*Ab9vbVF5sf3iu74yYrM4twsLYL0jQ*OsI*Aq359QrpTTgMkvYFfBVRQS/IGYUI.jpg?width=650)
BABA AMUUMBUA MAMA KANUMBA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YiSShrCcUkr-tScGBek5GPM2HP*gNJTcswFhlngeXl1HTTJdnl5*-5ZNkkIBMsN89brvCu880*NToaNK*ON7fMP/wema.jpg?width=650)
BABA AMSHUSHIA LAWAMA MAMA KANUMBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRav8uFuTcpcTCZxy1rc9V42rrxxdvYLO5K3xSNBSI9Zwaf-6n4eLIkcdntoD2cbxxLNmsURR0751KtuDbYT-g8V/mamak.jpg?width=650)
BABA: MAMA KANUMBA ‘PLIZ’ ACHA NJAA
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Kanumba Day: Wastara Ana Haya Kuhusu Kitabu cha Kanumba
“Hiki kitabu chenye historia yako chatosha kunifanya nione umuhimu mkubwa uliokuwa nao katika tasnia na safari ndefu uliyopitia mpka ulimwengu kkutambua wew ni nani yoyte mwenye moyo wa dhati na asiyechoka na kukata siku zote atasimama nakufuata njia ulizopita duniani ni njia tu lakini jinsi utakavyoipita njia hii ndivyo utakavyowapa watu kumbukumbu ya kukkumbuka kilasiku tunakukumbuka sana lakini kifo ni safari ya lazima aina rushwa wala aikwepeki tuko nyuma yako mungu akusamehe makosa yako...
10 years ago
Bongo Movies25 Jan
Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"
Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.
Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.
Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JnNsxgX9lA2xo4zwDjNQFun3BNKjBEZB2I2IC1b4LKunhjtu-gB3SDCmzPsVatnmo0Dd3Wj9tIw9rywWfj6WZvcUbzAeAEMD/dokii.jpg)
LAANA YA KANUMBA YAIMALIZA BONGO MUVI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljx34qmT6cMXN2aYOaftCmnR9e1a6GBBJZGwqxEIgKj52K*Tuv6eO4TPhUdS3-m1VYC1w*S1nCiPt*roHvDi4m0H/ney.jpg?width=650)
BOZI: NAY WA MITEGO ANA LAANA YANGU
10 years ago
Mtanzania22 May
BATULI: Kanumba kama kaacha laana kwenye filamu za bongo
NA FESTO POLEA
APRILI 7 mwaka 2012 tasnia ya filamu ilipatwa na majonzi makubwa kutokana na kifo cha aliyekuwa mwigizaji nguli, Steven Kanumba, ambaye alikuwa kipenzi cha wengi ndani na nje ya nchi.
Licha ya wengi kutokuamini kwa muda huo, baada ya muda ikagundulika kweli amefariki, hivyo majonzi zaidi yakarindima, huku kila mtu akisema lake kuhusu kifo hicho.
Baada ya mazishi yake mashabiki walijipa matumaini kwamba tasnia hiyo licha ya kumpoteza mwigizaji huyo ingeendelea vema kutokana na...