BADILISHENI CORONA KUWA FURSA KWA MALEZI YA FAMILIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xzTpYu5VZWA/Xr55Iz8347I/AAAAAAALqUg/VoE8sX7tCrsfiWdgZL3Y6zbvUeNiGnAOACLcBGAsYHQ/s72-c/778efa3e-709b-4e59-be09-6ef7639882cf.jpg)
Mwandishi wetu, WAMJW
Wazazi na walezi nchini wametakiwa kufanya tathimini juu ya fursa na changamoto zilizopo katika familia zao hususani kipindi hiki ambacho jamii inakabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugojwa wa homa kali ya mapafu (COVID-19).
Wito huo umetolewa leo jijini Dar Es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizungumza kuhusu Siku ya Familia Duniani ambayo huadhimishwa kila...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Bxx01bUyqbU/VVVqDzrom7I/AAAAAAAHXYs/2dkE5Ers8-8/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
WAZIRI SIMBA AZINDUA KITINI CHA ELIMU YA MALEZI KWA FAMILIA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Bxx01bUyqbU/VVVqDzrom7I/AAAAAAAHXYs/2dkE5Ers8-8/s640/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I4x2EUCzEBE/VVVqD_K0TYI/AAAAAAAHXYY/qhEq39yI55A/s640/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uzAsHU4J5SM/VVVqEp9o10I/AAAAAAAHXYc/MS7WG8HpzTA/s640/unnamed%2B(27).jpg)
5 years ago
MichuziTAASISI YA HAKI FURSA YAMUOMBA SPIKA WA BUNGE KUANDAA TUZO MAALUM KWA AJILI YA KUTAMBUA MCHANGO WA RAIS DK.MAGUFULI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Ofisa Mipango wa Taasisi ya Haki Fursa Kwagilwa Reuben (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi habari leo Mei 27 , 2020 jijini Dar es Salaam kuhusu umuhimu wa Rais Dk.John Magufuli kupewa tuzo maalumu ya kutambua na kuthamini mchango wake katika kupambana na janga la Corona nchini.Kushoto ni Katibu Mtendaji wa taasisi hiyo Ntimi Charles na kulia ni Ofisa Ustawi wa Jamii wa taasisi hiyo Lwitiko Mwakikuti.
Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Haki Fursa Ntimi Charles (katikati) akisikiliza kwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ORp_trd6SsY/XqB0mYvKbPI/AAAAAAALn3I/Nb2bXrwwd_8hD9lQ5w2X0DvjkRp-4mS4gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0856-2048x1369.jpg)
WANAHABARI WATAKIWA KUWA MAKINI KWA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ORp_trd6SsY/XqB0mYvKbPI/AAAAAAALn3I/Nb2bXrwwd_8hD9lQ5w2X0DvjkRp-4mS4gCLcBGAsYHQ/s400/DSC_0856-2048x1369.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Rukwa Izrael Mwaisaka (Kushoto)akipokea bahasha zilizowekwa barakoa kwaajili ya Waandishi waliohudhuria semina ya Waandishi wa Habari katika Ofisi ya mkuu wa mkoa kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa Bernard Malaki (kulia) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Mkoa huo kutoa vifaa vya kujikinga kwa Waandishi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_0878-scaled.jpg)
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Burundi yatangaza kuwa na wagonjwa wa corona kwa mara ya kwanza
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: Je kuna ushahidi kuwa dawa za malaria zinatibu corona?
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Kwanini janga la corona limefanya panya kuwa wakali zaidi?
5 years ago
BBCSwahili20 Apr
Virusi vya Corona: Jinsi damu ya mtu aliyepona corona inavyoweza kuwa tiba
10 years ago
Mwananchi31 Dec
‘Wazazi zingatieni malezi bora kwa watoto’
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Madhehebu ya dini yasadie malezi bora kwa watoto