BALOZI KAMALA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA BRUSSELS AIRLINE
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZldVSHebVj8/VQs5hC9ciVI/AAAAAAAHLlo/xhVzG-hwAIE/s72-c/unnamed.jpg)
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais wa kampuni ya Brussels Airline Mhe. David Lyssens (kulia) baada ya kumaliza kikao naye ofisini kwake Brussels. Kushoto ni Bwana Geoffrey Kabakaki Mchumi Mhandamizi Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji. Balozi Kamala ameiomba kampuni hiyo kuingia kwenye biashara ya usafiri wa anga Tanzania.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6o-Xc5A_0d0/VC6fnCsfsEI/AAAAAAAGnkg/nxtwhCUFOqk/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAZIRI WA UCHUMI NA BIASHARA WA SERIKALI YA BRUSSELS
![](http://4.bp.blogspot.com/-6o-Xc5A_0d0/VC6fnCsfsEI/AAAAAAAGnkg/nxtwhCUFOqk/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gbQg1mDiQjY/U8-DksDCq7I/AAAAAAAF5Fo/vxHSm8iR90o/s72-c/unnamed+(61).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA TAASISI YA UWEKEZAJI NA BIASHARA YA BRUSSELS
![](http://1.bp.blogspot.com/-gbQg1mDiQjY/U8-DksDCq7I/AAAAAAAF5Fo/vxHSm8iR90o/s1600/unnamed+(61).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xt6Fbq0kJ6o/U_79DseBnvI/AAAAAAAGJ8Y/kG-i0b4YYL0/s72-c/883.jpg)
Balozi Seif Ali Idd akutana na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Tigo
Kampuni ya Mitandao ya simu za Mkononi ya Tigo imejitolea kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwenye sekta ya uwekezaji katika masuala ya mitandao ya mawasiliano sambamba na kusaidia huduma za Kijamii kwa wananchi wa Visiwa vya Unguja na Pemba.
Makamu wa Rais wa Kampuni hiyo yenye Makao Makuu yake Mjini Stokholmes Nchini Sweeden Bwana Arthur Basting alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa...
Makamu wa Rais wa Kampuni hiyo yenye Makao Makuu yake Mjini Stokholmes Nchini Sweeden Bwana Arthur Basting alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yNj_jY0KaIc/VFdhIHLhPlI/AAAAAAAGvQ0/ptT3CZNITR0/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA VIONGOZI WA KAMPUNI YA ZETES
![](http://1.bp.blogspot.com/-yNj_jY0KaIc/VFdhIHLhPlI/AAAAAAAGvQ0/ptT3CZNITR0/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-inXbYXgiX4I/VDKYFt05g9I/AAAAAAAGoWY/rYhn3eTDNoc/s72-c/unnamed%2B(87).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MKURUGENZI WA AFRIKA WA KAMPUNI YA TE (TE Connectivity)
![](http://2.bp.blogspot.com/-inXbYXgiX4I/VDKYFt05g9I/AAAAAAAGoWY/rYhn3eTDNoc/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7oiJkKBvGRY/VRaK0Z9m85I/AAAAAAAHNwE/0_wRVDI1nZY/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MWENYEKITI WA BODI WA KAMPUNI YA LOTUS
![](http://4.bp.blogspot.com/-7oiJkKBvGRY/VRaK0Z9m85I/AAAAAAAHNwE/0_wRVDI1nZY/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g4r6YQsvzRE/VAhcZQ_5LiI/AAAAAAAGd4c/qa7tbNtRA7E/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA KAMPUNI YA DELANOUT YA UBELGIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-g4r6YQsvzRE/VAhcZQ_5LiI/AAAAAAAGd4c/qa7tbNtRA7E/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLS079UZTw2DBcgT7p9ofj41VdyIAVbhpzIKlQWdVx2QQDvW0z1dLdcSHXYB-jF9RTEsNdhN4Vs7x2FG19gD5fRW/unnamed66.jpg?width=650)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI, PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA CONTRACTUS YA POLAND
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na balozi wa Kuwait nchini, Mhe Jaseem Al Najem kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Machi 9, 2015. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na balozi wa Kuwait nchini, Mhe. Jaseem Al Najem, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Machi 9, 2015. Katikati ni Ofisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano… ...
9 years ago
MichuziBALOZI KAMALA ATUNUKIWA NISHANI YA BALOZI BORA WA AFRIKA BRUSSELS
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania