BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI AAGANA NA MAAFISA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-BqEAvOd_RJE/VJbFPodL8jI/AAAAAAADSdw/rQCAXqPASq4/s72-c/20141221_131253.jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga( watatu toka kushoto) katika picha ya pamoja na maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa walipotembelea ofisini kwake kumuaga. Maafisa hawa ni kati ta timu imara iliyofanikisha ziara ya kikazi ya Mh. Waziri Mkuu. nchi za Falme za Kiarabu kabla ya Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda kukatisha ziara hiyo baada ya kuitwa nyumbani na Mhe. Rais Jakaya Kikwete.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q-KmolPeOYE/VJcFnCIi8rI/AAAAAAAG43I/P1wgIUnZBfA/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje wamuaga Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q-KmolPeOYE/VJcFnCIi8rI/AAAAAAAG43I/P1wgIUnZBfA/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai,Mh. Omar Mjenga akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa walipomtembelea ofisini kwake kumuaga leo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, Mhe. Omar Mjenga Akutana na Mkurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya UAE, Ofisi ya Dubai.
![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s1600/unnamed+(8).jpg)
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA MHE. BALOZI LIBERATA MULAMULA ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC.
Mhe. Katibu Mkuu akiwa katika kikao na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania,...
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA BALOZI LIBERATA MULAMULA AONDOKA RASMI MAREKANI KURUDI TANZANIA.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2-s89T4RmTM/VhIp6OzllhI/AAAAAAADATo/bGRkkj45CEk/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA BALOZI LIBERATA MULAMULA KATIKA OFISI YA UBALOZI WA TANZANIA OTTAWA-CANADA, OKTOBA 1-3, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-2-s89T4RmTM/VhIp6OzllhI/AAAAAAADATo/bGRkkj45CEk/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3ncJvOrTlXU/VhIpumhRXEI/AAAAAAADATg/JWnxBVdTlQw/s640/New%2BPicture%2B%25282%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fmuUAChoZUE/VhIp9VzN3hI/AAAAAAADATw/UucIyLcR_KA/s640/New%2BPicture%2B%25283%2529.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SEZ4VPeIsjY/VUdd0sHGHiI/AAAAAAAHVIs/Pe6MGiI91fo/s72-c/download%2B(1).jpg)
NEWS ALERT: BALOZI MULAMULA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, BALOZI SIMBA NAIBU WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-SEZ4VPeIsjY/VUdd0sHGHiI/AAAAAAAHVIs/Pe6MGiI91fo/s1600/download%2B(1).jpg)
Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico.
Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya (chini) kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Kwa sasa Balozi Yahya ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati Wizarani...
10 years ago
Vijimambo04 May
BALOZI LIBERATA MULAMULA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Balozi Liberata Rutageruka Mulamula kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico.
Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya kuwa naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa sasa Balozi Yahya ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya...
10 years ago
Dewji Blog04 May
News Alert: Balozi Mulamula Katibu Mkuu mpya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Balozi Liberata Rutageruka Mulamula
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Balozi Liberata Rutageruka Mulamula kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico.
Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya kuwa naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa sasa Balozi Yahya ni Mkurugenzi wa Idara ya...
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE NA WIZARA YA USHIRIKIANO AFRIKA MASHARIKI ZALENGA KUBORESHA UHUSIANO WA TANZANIA KIMATAIFA.