Maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje wamuaga Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q-KmolPeOYE/VJcFnCIi8rI/AAAAAAAG43I/P1wgIUnZBfA/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai,Mh. Omar Mjenga akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa walipomtembelea ofisini kwake kumuaga leo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BqEAvOd_RJE/VJbFPodL8jI/AAAAAAADSdw/rQCAXqPASq4/s72-c/20141221_131253.jpg)
BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI AAGANA NA MAAFISA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-BqEAvOd_RJE/VJbFPodL8jI/AAAAAAADSdw/rQCAXqPASq4/s1600/20141221_131253.jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga( watatu toka kushoto) katika picha ya pamoja na maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa walipotembelea ofisini kwake kumuaga. Maafisa hawa ni kati ta timu imara iliyofanikisha ziara ya kikazi ya Mh. Waziri Mkuu. nchi za Falme za Kiarabu kabla ya Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda kukatisha ziara hiyo baada ya kuitwa nyumbani na Mhe. Rais Jakaya Kikwete.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9f8cG1VkHQE/VJbFPor2M4I/AAAAAAADSd4/7sEHpK5zRB8/s1600/20141221_131255.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, Mhe. Omar Mjenga Akutana na Mkurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya UAE, Ofisi ya Dubai.
![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6mFnFCcth34/VHrGnMfTNnI/AAAAAAAG0UI/U36vD9O4HmY/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa Saudi Arabia Dubai
![](http://3.bp.blogspot.com/-6mFnFCcth34/VHrGnMfTNnI/AAAAAAAG0UI/U36vD9O4HmY/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MAw_Bwf6YIo/U0OdUR4CYlI/AAAAAAAFZPY/U5CW8TFnCuU/s72-c/20140407_085729.jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai akutana na Balozi Mdogo wa Kenya, Dubai
![](http://2.bp.blogspot.com/-MAw_Bwf6YIo/U0OdUR4CYlI/AAAAAAAFZPY/U5CW8TFnCuU/s1600/20140407_085729.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_1Klcvq_wY/U0OdLqwejRI/AAAAAAAFZPQ/4gaMfHrYZuY/s1600/20140407_085712.jpg)
10 years ago
Vijimambo21 Jan
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje akutana na Ujumbe kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WAMUAGA RAIS KIKWETE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eKRBB_JURwM/Uxgm6N6zOkI/AAAAAAAFRXI/Z8eJmEOXit8/s72-c/unnamed+(61).jpg)
balozi mdogo wa ethiopia amtembelea balozi mdogo wa tanzania dubai
![](http://4.bp.blogspot.com/-eKRBB_JURwM/Uxgm6N6zOkI/AAAAAAAFRXI/Z8eJmEOXit8/s1600/unnamed+(61).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U3ffWYZrxRE/Uxgm6NZWpTI/AAAAAAAFRXE/nQ4AIi6TjkI/s1600/unnamed+(62).jpg)
Katika mazungumzo yao wanadiplomasia hao walipata fursa ya kuzungumzia njia muafaka na mbali mbali za kufanya kazi kwa karibu ili kuhakikisha wanavutia utalii na uwekezaji katika nchi zao hasa kwa kuwavutia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RwHzwAjBXGg/VAR6mUGR6bI/AAAAAAAGZ9c/VWYnfHf7OdQ/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akutana na Mtendaji Mkuu wa Dubai Chamber of Commerce and Industry
![](http://3.bp.blogspot.com/-RwHzwAjBXGg/VAR6mUGR6bI/AAAAAAAGZ9c/VWYnfHf7OdQ/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
Katika mazungumzo, wamejadiliana uwezekano wa kuwa na ziara ya kibiashara kwenda Tanzania, kwa makampuni na viwanda vilivyopo Dubai, ili kukutana na wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda Tanzania, ili kujionea na kuibua fursa za uwekezaji. Wamekubaliana ziara hiyo ifanyike mwanzoni mwa mwaka kesho na hivyo basi kuanza maandalizi mapema.
Mwezi Novemba,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s72-c/20140803_212527.jpg)
DRAGON MART YA DUBAI WAKUTANA TENA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
Mhe. Omar Mjenga akiwa katika na chakula cha jioni (Dinner) na uongozi wa Dragon Mart ya Dubai, ambao wameonyesha nia kwa kushirikiana na Wizara ya Viwanda na Biashara, kujenga uwanja wa maonyesho ya biashara wa kisasa utakaokuwa unafanya maonyesho mfululizo kwa mwaka mzima.
Nia yao pamoja na Wizara, ni kujenga kituo cha ubora( centre of excellency) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s1600/20140803_212527.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5H_s3CSgjk0/U9-IxcuHcSI/AAAAAAAF9AA/PpTVzBauePk/s1600/20140803_200704.jpg)
Nia yao pamoja na Wizara, ni kujenga kituo cha ubora( centre of excellency) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s1600/20140803_212527.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5H_s3CSgjk0/U9-IxcuHcSI/AAAAAAAF9AA/PpTVzBauePk/s1600/20140803_200704.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania