Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bango la daladala lamkuna Lowassa

Mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa alishangaza wapinzani wake wakati alipofanya ziara za kushtukiza jijini Dar es Salaam, ikiwa ni pamoja na kupanda daladala, lakini wananchi mkoani Singida walimsaidia kutoa jibu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Saa 12 kila siku juani na bango la Lowassa

Kwa waliowahi kupita barabara inayotoka Buguruni kuelekea Tazara jijini Dar es Salaam, bila shaka wameshamuona mkereketwa wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Shaibu Masaula (46) akiwa ameshikilia bango lenye picha ya mgombea urais wa Chadema Edward Lowassa na mgombea mwenza, Juma Duni Haji huku akirukaruka muda wote.

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASSA NDANI YA DALADALA JIJINI DAR LEO

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Bi. Kulwa Juma ambaye ni mfanyabiashara ndogo ndogo ya kuuza Mihogo ya Kukaanga katika Kituo cha Mabasi cha Gongo la Mboto mwisho, Jijini Dar es salaam leo, wakati alipofanya ziara ya kushtukiza eneo hilo ili kujionea hali halishi ya biashara ndogo ndogo. Mh. Lowassa aliianza ziara yake eneo hilo la Gongo la Mboto na baadae alipanda daladala mpaka Pugu Kajiungeni, jijini...

 

10 years ago

GPL

LOWASSA APANDA DALADALA KWENDA GONGO LA MBOTO, DAR

Mgombea urais kwa tiketi ya Ukawa Mh Edward Lowassa akiwa kwenye daladala kuangalia kero za wananchi maeneo ya Gongo la mboto kuelekea Chanika jijini Dar es Salaam leo. Akiongea na wananchi.…

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZINGINE ZA LOWASSA NDANI YA DALADALA JIJINI DAR LEO

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwa ndani ya Daladala alilopanda kutokea Gongo la Mboto Mwisho mpaka Pugu Kajiungeni jijini Dar es salaam,mapema leo asubuhi.
Mh. Lowassa akishuka kwenye daladala.Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Bi. Kulwa Juma ambaye ni mfanyabiashara ndogo ndogo ya kuuza Mihogo ya Kukaanga katika Kituo cha...

 

11 years ago

Mwananchi

Bao Tchetche lamkuna Kipa Tusker

>Kipa wa Tusker, Samwel Odhiambo amesema  kipigo walichokipata cha bao 1-0 kutoka kwa Azam si msiba, na kumsifu Kipre Tchetche kwa ustadi aliotumia  kufunga bao hilo.

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA APANDA DALADALA KUTOKA GONGO LA MBOTO MPAKA PUGU KAJIUNGENI JIJINI DAR LEO

Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Bi. Kulwa Juma ambaye ni mfanyabiashara ndogo ndogo ya kuuza Mihogo ya Kukaanga katika Kituo cha Mabasi cha Gongo la Mboto mwisho, Jijini Dar es salaam leo, wakati alipofanya ziara ya kushtukiza eneo hilo ili kujionea hali halishi ya biashara ndogo ndogo. Mh. Lowassa aliianza ziara yake eneo hilo la Gongo la Mboto na baadae alipanda daladala mpaka Pugu Kajiungeni,...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

MUZIKI MNENE BANGO BOKO

Jimmy Jiam akiwa na washindi wa Muzuki Mnene Bango  eneo la Kisarawe. Washindi hao walitokana na kuwenga bango la EFM katika sehemu zao mbalimbali  na kama wanavyoonekana tayari wamekabidhiwa zawadi zao.




 

10 years ago

Michuzi

MUZIKI MNENE BANGO KIMARA

 Mr Jimmy Jiam akiwa na mshindi kwa  kuweka  stika za kutosha kwenye sehemu yake ya biashara na kupata t-shirt yake mpya ya EFM aliyozawadia na bwana E kufuatia. Mamalishe akikabidhiwa zawadi na bwana E Mr Jimmy Jiam baada ya kuweka stika kwenye sehemu yake ya kazi eneo la Kimara, jijini Dar Es Salaam.Bwana E Mr jimmy Jiam akimpa zawadi na kumshurukuru mfanyabiashara kwa kusikiliza 93.7 EFM na ku weka bango la EFM kwenye eneo lake la biashara. 
Bwana E anapokutana na shabiki wa 97.3 EFM...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani